Ilaaniwe Serikali ya CCM viongozi wake

Ilaaniwe Serikali ya CCM viongozi wake

KING ASSENGA

JF-Expert Member
Joined
Oct 8, 2016
Posts
929
Reaction score
1,494
Wakati wameshindwa kutuajiri, bado hata tulipojiajiri wanafuata na kutuwekea vikwazo vya kutosha, walaaniwe kwa matozo, makodi ya kila aina, walaaniwe

Wakati vijana tunaona fursa nje ya nchi wao wanatuwekea vikwazo kutoka passport masharti lukuki na garama juu pamoja na ucheleweshaji, mnataka tufie njaa humu ndani? Mlaaniwe.

Narudia tena Mlaaniwe CCM na serikali yenu mlaaniwe kwa kuufuga umaskini shida na taabu mulaaniwe kwa jasho letu mnalojilipa mlaaniwe na ardhi yetu mnayoikanyaga. Mlaaniwe na vizazi vyenu vyote,. Mlaaniwe milele
 
Narudia tena Mlaaniwe CCM na serikali yenu mlaaniwe kwa kuufuga umaskini shida na taabu mulaaniwe kwa jasho letu mnalojilipa mlaaniwe na ardhi yetu mnayoikanyaga. Mlaaniwe na vizazi vyenu vyote,. Mlaaniwe milele
emoji24.png
emoji24.png
emoji24.png
Naomba watu wore wenyewe mapenzi mema tuseme AMEN.
 
Wakati wameshindwa kutuajiri, bado hata tulipojiajiri wanafuata na kutuwekea vikwazo vya kutosha, walaaniwe kwa matozo, makodi ya kila aina, walaaniwe

Wakati vijana tunaona fursa nje ya nchi wao wanatuwekea vikwazo kutoka passport masharti lukuki na garama juu pamoja na ucheleweshaji, mnataka tufie njaa humu ndani? Mlaaniwe.

Narudia tena Mlaaniwe CCM na serikali yenu mlaaniwe kwa kuufuga umaskini shida na taabu mulaaniwe kwa jasho letu mnalojilipa mlaaniwe na ardhi yetu mnayoikanyaga. Mlaaniwe na vizazi vyenu vyote,. Mlaaniwe milele
Amen kaka tunapitia Magumu sana katka nchi yetu Hii ila ipo sku Mungu atatutendea tuu

Sent from my SM-N920C using JamiiForums mobile app
 
Wakati wameshindwa kutuajiri, bado hata tulipojiajiri wanafuata na kutuwekea vikwazo vya kutosha, walaaniwe kwa matozo, makodi ya kila aina, walaaniwe

Wakati vijana tunaona fursa nje ya nchi wao wanatuwekea vikwazo kutoka passport masharti lukuki na garama juu pamoja na ucheleweshaji, mnataka tufie njaa humu ndani? Mlaaniwe.

Narudia tena Mlaaniwe CCM na serikali yenu mlaaniwe kwa kuufuga umaskini shida na taabu mulaaniwe kwa jasho letu mnalojilipa mlaaniwe na ardhi yetu mnayoikanyaga. Mlaaniwe na vizazi vyenu vyote,. Mlaaniwe milele
Ameen,kimsingi Tanzania ni nchi yetu sote lakini,viongozi wamejisahau Sana ,wanawaona Wanzania ni bongo lala kana Kwamba Hamna kitu kichwani .Ni nchi yetu sote lakini mbeleni tutapitia wakati mgumu Sana hata tunayoyasikia Ethiopia,na mataifa mengine ni cha Mtoto Kwa Tanzania Tutapigwa pigo Takatifu IL tujifunze . Kwa maana hii Sasa kila mmoja asali Kwa dini yake ili watawala wajue wanayopaswa kutendea watu .
 
Wakati wameshindwa kutuajiri, bado hata tulipojiajiri wanafuata na kutuwekea vikwazo vya kutosha, walaaniwe kwa matozo, makodi ya kila aina, walaaniwe

Wakati vijana tunaona fursa nje ya nchi wao wanatuwekea vikwazo kutoka passport masharti lukuki na garama juu pamoja na ucheleweshaji, mnataka tufie njaa humu ndani? Mlaaniwe.

Narudia tena Mlaaniwe CCM na serikali yenu mlaaniwe kwa kuufuga umaskini shida na taabu mulaaniwe kwa jasho letu mnalojilipa mlaaniwe na ardhi yetu mnayoikanyaga. Mlaaniwe na vizazi vyenu vyote,. Mlaaniwe milele
CCM ni takataka haswa
 
Kinachoshangaza sijui kwa nini hii nchi kila sekta haiendeshwi inavyotakiwa. Kila sehemu ni matatizo. Hivi mfano utamkataliaje mtu asitoke humu nchini?. Kupata tu vibali vya kutoka humu nchini ni mlolongo hatari
 
Hii laana kali sana mkuu ungepunguza makali kidogo!
Ila ccm ingekaa chini ijitafakari kwa mabaya inayotenda ikiwapo hili la kubambikizia watu kesi za uongo!
 
Back
Top Bottom