Ila wanawake mna dhambi wakati mwingine

Ila wanawake mna dhambi wakati mwingine

Naantombe Mushi

JF-Expert Member
Joined
Oct 16, 2015
Posts
6,254
Reaction score
15,735
Nimeishuhudia jana hii jana kwa rafiki yangu wa karibu,

Upo na gari yako (IST) umetoka job ukampitia Girlfriend wako mkale bata na kutoa machungu ya kazi za wiki nzima. Girlfriend wako ni type flani hivi za wanawake wa kimjinimjini, anaamua pia kwenye mtoko huo aungane na best yake wanafanya kazi pamoja.

Paaaaaaap, kidume unawapitia gari; Girlfriend wako anakaa siti ya mbele na best yake anakaa siti ya nyuma. Unafika Magomeni bahati mbaya kuna foleni ya magari, unasubir dakika kama 20 hiv unaona foleni haijaruhusiwa. Unapandwa na hasira unaamua kuzima gari, punde kama dakika tano tena unaona foleni inaruhusiwa, unaamua kuwasha gari lakini linagoma kuwaka.

Solution inakuwa ni kusukuma gari na kuliweka pembeni, kwakuwa wewe unakifua kama kabati unaona ukimpata mtu mmoja anatosha kabisa kukusaidia mkasukuma gari mkaliweka pembeni.

Wakati huo huo GF wako na best yake, wameona kabisa kwamba unahitaji msaada na wangeweza kabisa kutoka na kukusaidia kusukuma gari na kulipaki pembeni, ila wanaamua tu kuua soo na kutoa simu zao na kusurfsurf.

Huku nyuma kidume unampata teja mmoja unamtoa jero anaamua kukusaidia. Mnaanza kusukuma gari na kumsukuma na GF wako na best yake. Unafanikiwa kulipak pembeni hapo hapo unafanya mpango fundi mara moja halafu anaweka mambo sawa unaendelea na safari yako ya kula bata.

Kwa kuwa demu wako ni wa kimjinimjini unaamua kwenda nae lachaz pale, baada ya kuvuja jasho ya kusukuma gari unaanza pia kuvuja jasho kwenye upande wa wallet maana unagundua shot wanazopiga ni za kiwango cha first class.

Baada ya masaa manne unagundua kwamba bajeti iliyopo kwenye wallet haiwez kuhimili hii ligi ya kiwango cha La Liga cha huyu GF wako na best yake.

Kidume unaanza kusumbua washkaji saa sita usiku wakutumuie walau laki moja ili mechi iishe salama...

Kweli nyinyi wanawake nadhani kuna jehanamu yenu maalumu inawasubiri
 
Nimeishuhudia jana hii jana kwa rafiki yangu wa karibu,

Upo na gari yako (IST) umetoka job ukampitia Girlfriend wako mkale bata na kutoa machungu ya kazi za wiki nzima. Girlfriend wako ni type flani hivi za wanawake wa kimjinimjini, anaamua pia kwenye mtoko huo aungane na best yake wanafanya kazi pamoja.

Paaaaaaap, kidume unawapitia gari; Girlfriend wako anakaa siti ya mbele na best yake anakaa siti ya nyuma. Unafika Magomeni bahati mbaya kuna foleni ya magari, unasubir dakika kama 20 hiv unaona foleni haijaruhusiwa. Unapandwa na hasira unaamua kuzima gari, punde kama dakika tano tena unaona foleni inaruhusiwa, unaamua kuwasha gari lakini linagoma kuwaka.

Solution inakuwa ni kusukuma gari na kuliweka pembeni, kwakuwa wewe unakifua kama kabati unaona ukimpata mtu mmoja anatosha kabisa kukusaidia mkasukuma gari mkaliweka pembeni.

Wakati huo huo GF wako na best yake, wameona kabisa kwamba unahitaji msaada na wangeweza kabisa kutoka na kukusaidia kusukuma gari na kulipaki pembeni, ila wanaamua tu kuua soo na kutoa simu zao na kusurfsurf.

Huku nyuma kidume unampata teja mmoja unamtoa jero anaamua kukusaidia. Mnaanza kusukuma gari na kumsukuma na GF wako na best yake. Unafanikiwa kulipak pembeni hapo hapo unafanya mpango fundi mara moja halafu anaweka mambo sawa unaendelea na safari yako ya kula bata.

Kwa kuwa demu wako ni wa kimjinimjini unaamua kwenda nae lachaz pale, baada ya kuvuja jasho ya kusukuma gari unaanza pia kuvuja jasho kwenye upande wa wallet maana unagundua shot wanazopiga ni za kiwango cha first class.

Baada ya masaa manne unagundua kwamba bajeti iliyopo kwenye wallet haiwez kuhimili hii ligi ya kiwango cha La Liga cha huyu GF wako na best yake.

Kidume unaanza kusumbua washkaji saa sita usiku wakutumuie walau laki moja ili mechi iishe salama...

Kweli nyinyi wanawake nadhani kuna jehanamu yenu maalumu inawasubiri
Pole rafiki nimecheka sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakumbuka nilimpata mdada ambaye tukiwa ktk mtoko anahesabu chupa nilizokunywa zikifika nne ananiambia hesabu pesa zako kisha nipe nikuhifadhie, yaani alikuwa mchumi utadhani anazitafuta yeye...hivi ndio wife
 
Mimi nilimpata mmoja akaniambia Kwanza acha kunywa pombe sikumuelewa ana maana gani. Ila niliacha kweli. Cha pili akaniambia mitoko yote atagharamia yeye nikadhani nguvu ya soda lakini aliweza kugharamia mpaka sehemu ya kugegedana yenye hadhi ya kueleweka. Cha tatu akaniambia sasa hiyo hela yako fanyia kitu cha maana kwa ajili yetu na watoto wetu tutakaowapata. Sikujishauri mara mbili, nilienda kwao nikatoa mahari na nikafuata taratibu zote .Kwa sasa ndio mke wangu..
 
Nimeishuhudia jana hii jana kwa rafiki yangu wa karibu,

Upo na gari yako (IST) umetoka job ukampitia Girlfriend wako mkale bata na kutoa machungu ya kazi za wiki nzima. Girlfriend wako ni type flani hivi za wanawake wa kimjinimjini, anaamua pia kwenye mtoko huo aungane na best yake wanafanya kazi pamoja.

Paaaaaaap, kidume unawapitia gari; Girlfriend wako anakaa siti ya mbele na best yake anakaa siti ya nyuma. Unafika Magomeni bahati mbaya kuna foleni ya magari, unasubir dakika kama 20 hiv unaona foleni haijaruhusiwa. Unapandwa na hasira unaamua kuzima gari, punde kama dakika tano tena unaona foleni inaruhusiwa, unaamua kuwasha gari lakini linagoma kuwaka.

Solution inakuwa ni kusukuma gari na kuliweka pembeni, kwakuwa wewe unakifua kama kabati unaona ukimpata mtu mmoja anatosha kabisa kukusaidia mkasukuma gari mkaliweka pembeni.

Wakati huo huo GF wako na best yake, wameona kabisa kwamba unahitaji msaada na wangeweza kabisa kutoka na kukusaidia kusukuma gari na kulipaki pembeni, ila wanaamua tu kuua soo na kutoa simu zao na kusurfsurf.

Huku nyuma kidume unampata teja mmoja unamtoa jero anaamua kukusaidia. Mnaanza kusukuma gari na kumsukuma na GF wako na best yake. Unafanikiwa kulipak pembeni hapo hapo unafanya mpango fundi mara moja halafu anaweka mambo sawa unaendelea na safari yako ya kula bata.

Kwa kuwa demu wako ni wa kimjinimjini unaamua kwenda nae lachaz pale, baada ya kuvuja jasho ya kusukuma gari unaanza pia kuvuja jasho kwenye upande wa wallet maana unagundua shot wanazopiga ni za kiwango cha first class.

Baada ya masaa manne unagundua kwamba bajeti iliyopo kwenye wallet haiwez kuhimili hii ligi ya kiwango cha La Liga cha huyu GF wako na best yake.

Kidume unaanza kusumbua washkaji saa sita usiku wakutumuie walau laki moja ili mechi iishe salama...

Kweli nyinyi wanawake nadhani kuna jehanamu yenu maalumu inawasubiri
Bro.. umesema umeshuhudia kwa rafikia yako... means na wewe ulikuwepo... sasa mbona hukutoa msaada!?? Au wewe ndo ulikuwa rafiki wa GF..

Sorry lakini..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
😀😀😀, huyo mwanaume naye alishindwaje kuwa muwazi kwa GF wake kwamba mfuko wake kwa leo ni kiasi fulani, ili wajiongeze na huyo shosti ake ktk matumizi , sasa sijui alitaka sifa ili aonekane yuko vizuri,Pole yake ila siku nyingine akili itamkaa sawa.
 
Back
Top Bottom