Kuna utongozaji wa kisayansi wa kuchomekea kutesti zali.basi ni kuumia kwa zamu
maana hata mtongozaji ukikataliwa inauma sana, tena wewe unaumia kuliko hata yeye.
Bora wewe umeongea ukweli.Hiyo ilinitokea back 2015.
Kuna manzi tulianza kudate, sema kwakua mimi najitafuta hamna ahadi ata moja namtimizia. Nakumbuka iPhone 6 ndio zipo...
Kwamba lazima akuchomoe uhai 😅Mwanamke wa kichaga akupende alafu uje ushike mkwanja uoe mwanamke mwingine umuache?
Unachekesha mkuu