Ila waislamu nchini wana pesa ndefu

Adryz

Senior Member
Joined
Dec 7, 2025
Posts
192
Reaction score
523

Hayo ndiyo mahubiri ya Nabii wako Tito? Wewe mvalishwa Pampers unaweka fitina wakati babu yenu Laanatullahi Nyerere aliiba pesa yote ya Zanzibar kutoka Jumuiya ya Afrika Mashariki iliyovunjika.
 
Hayo ndiyo mahubiri ya Nabii wako Tito? Wewe mvalishwa Pampers unaweka fitina wakati babu yenu Laanatullahi Nyerere aliiba pesa yote ya Zanzibar kutoka Jumuiya ya Afrika Mashariki iliyovunjika.
Yaani wewe jamaa utakufa umeachama mdomo kwa chuki zako juu ya Mwl Nyerere.

Bahati mbaya sana kwako ndiyo ameshakuwa na haitotokea ktk kizazi chako kuwepo wa kufanana nae wote duniani tutakaokuwa interested kuizungumzia Tanzania lazima tumtaje either kwa mabaya au kwa mema.
 
Of course kwa sababu nchi yako Tanganyika haijavamiwa na kuibiwa pamoja na kufanywa koloni na mwafrika mwenzako kiasi Uwe na jeuri hiyo
 
Hayo ndiyo mahubiri ya Nabii wako Tito? Wewe mvalishwa Pampers unaweka fitina wakati babu yenu Laanatullahi Nyerere aliiba pesa yote ya Zanzibar kutoka Jumuiya ya Afrika Mashariki iliyovunjika.
Your browser is not able to display this video.
 
Of course kwa sababu nchi yako Tanganyika haijavamiwa na kuibiwa pamoja na kufanywa koloni na mwafrika mwenzako kiasi Uwe na jeuri hiyo
Yanayofanyika sasa , bandari, mbuga za wanyama makaa ya mawe ,vitalu vya madini Tanganyika sio kuibiwa tu bali inaporwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…