mambo kama haya ndiyo yanaleta gundu na mikosi kwa timu ni kama ile kuingia na majeneza uwanjani ila hawa vichwa ngumu hawajifunzi..kila msimu timu inakuwa ovyo sababu ya mambo kama haya kwani yanaumba kitu kwa timu alafu mnaishi nacho msimu mzima mwisho mnatafuta mchawi kumbe mmejiroga kwa kujitia nuksi na mikosi wenyewe..bila shaka utakuwa ubunifu wa semaji Ahmed ally kilaza sana huyu hana idea za maana huku ni kuitia gundu timu kwa scene kama hizi.!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.