Amani Msumari
JF-Expert Member
- Aug 21, 2016
- 1,830
- 976
Unaweza kusema kuwa KM wa CHADEMA ndugu John Mnyika aliona mbali sana na akaaumua kuachana na kugombea Ubunge.
Najiuliza:
¹.Je, aliridhishwa na kazi nzuri iliyofanywa na CCM jimboni kwake?
² Je, aliamua kuunga mkono jitihada kimyakimya?
Hebu nijuzeni
Amani
Najiuliza:
¹.Je, aliridhishwa na kazi nzuri iliyofanywa na CCM jimboni kwake?
² Je, aliamua kuunga mkono jitihada kimyakimya?
Hebu nijuzeni
Amani