johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,897
- 141,830
Mbunge mstaafu Vicky Kamata amesema aliamua kugombea ubunge Kibamba badala ya Geita kwa sababu yeye ni mkazi wa Kibamba na pia mbunge aliyekuwepo alikuwa hajafanya lolote la maana la kuwaletea maendeleo wananchi
Vicky amesema wabunge wote wa Geita walikuwa ni wa CCM na walikuwa wanafanya vizuri sana hivyo isingekuwa busara yeye kugimbea kule ndio sababu aliamua kuja Kibamba kumfurusha J J Mnyika wa Chadema.
Chanzo: Star tv
Vicky amesema wabunge wote wa Geita walikuwa ni wa CCM na walikuwa wanafanya vizuri sana hivyo isingekuwa busara yeye kugimbea kule ndio sababu aliamua kuja Kibamba kumfurusha J J Mnyika wa Chadema.
Chanzo: Star tv