Hakika aliyewahi kuwa mbunge wa Kibamba Mheshimiwa John Mnyika aliyaona yatakayotokea katika uchaguzi mkuu 2020.
Aliamua kustaafu ubunge kwa kutokugombea na kupisha nafasi kwa wanachadema wengine kushindania.
Wengi na mimi nikiwemo tulijiuliza kulikoni mtu asigombee kutetea kiti cha ubunge kuwakilisha wananchi wake?
Mnyika aliona mbali na alikuwa na siri ya matokeo ya Uchaguzi huu.
Hakika Mnyika ameitunza heshima yake kwa kustaafu kiheshima kuwatumikia wananchi wa kibamba.
Aliamua kustaafu ubunge kwa kutokugombea na kupisha nafasi kwa wanachadema wengine kushindania.
Wengi na mimi nikiwemo tulijiuliza kulikoni mtu asigombee kutetea kiti cha ubunge kuwakilisha wananchi wake?
Mnyika aliona mbali na alikuwa na siri ya matokeo ya Uchaguzi huu.
Hakika Mnyika ameitunza heshima yake kwa kustaafu kiheshima kuwatumikia wananchi wa kibamba.