Makuzamkumbo
JF-Expert Member
- Mar 8, 2023
- 501
- 514
Cheers
Niko maeneo ya Moja moto Moja baridi. Kuna mambo nayakumbuka nabaki kucheka tu yaani.
Nakumbuka miaka ya nyuma wakati bado najitafuta niliishi nyumba fulani ya kawaida sana uzio wa mabua ya alizeti.
Sasa nyumba inayofuata aliishi bwana mmoja (Hawa wanajiita sijui wachungaji wa kilokole) na mke wake.
Kuna siku nilirudi mapema kidogo yapata 12:30 jioni kagiza ndio kanaanza, nikiwa najiandaa kuingiza bafuni naskia minong'ono ya mwanamke na kidume sasa ubongo ukanilazimisha niikazie uangalifu nikasogea karibu kabisa na uzio nikawa naskia vizuri kabisa.
Kumbe muhuni kambananisha mke wa pastor ila bibie bado anasita anasema “jamaa atatukuta bwana ndiyo mida yake ya kurudi hii”, jamaa kakomaa "hamna bana si kimoja tu chap hapa hapa ukutani"
Baada ya vuta nikuvute Kwa muda nafkiri jamaa alifanikiwa maana sikuskia tena minong'ono badala yake naskia miguno tu na sauti zisizoeleweka baada ya muda kimya kidogo, na baadaye namskia jamaa anasema "twende ndani huko kwani Nini bwanaa" ila sikuskia jibu la bibie badala yake naskia kama watu wanakokotana baadaye bawaba za mlango zinalia chwiiiiii chwiiii ila skujua kilichoendelea Mimi
Basi nikaendelea na mambo yangu maana kwanza hayo hayakua yananihusu ni kiherehere changu tu ila ilikuwa kila nikikutana na baba mchungaji kijana nilikuwa naskia kucheka tu huku nasikitika.
Jamani maisha haya dah! Anyway acha mimi niendelee kupata
Niko maeneo ya Moja moto Moja baridi. Kuna mambo nayakumbuka nabaki kucheka tu yaani.
Nakumbuka miaka ya nyuma wakati bado najitafuta niliishi nyumba fulani ya kawaida sana uzio wa mabua ya alizeti.
Sasa nyumba inayofuata aliishi bwana mmoja (Hawa wanajiita sijui wachungaji wa kilokole) na mke wake.
Kuna siku nilirudi mapema kidogo yapata 12:30 jioni kagiza ndio kanaanza, nikiwa najiandaa kuingiza bafuni naskia minong'ono ya mwanamke na kidume sasa ubongo ukanilazimisha niikazie uangalifu nikasogea karibu kabisa na uzio nikawa naskia vizuri kabisa.
Kumbe muhuni kambananisha mke wa pastor ila bibie bado anasita anasema “jamaa atatukuta bwana ndiyo mida yake ya kurudi hii”, jamaa kakomaa "hamna bana si kimoja tu chap hapa hapa ukutani"
Baada ya vuta nikuvute Kwa muda nafkiri jamaa alifanikiwa maana sikuskia tena minong'ono badala yake naskia miguno tu na sauti zisizoeleweka baada ya muda kimya kidogo, na baadaye namskia jamaa anasema "twende ndani huko kwani Nini bwanaa" ila sikuskia jibu la bibie badala yake naskia kama watu wanakokotana baadaye bawaba za mlango zinalia chwiiiiii chwiiii ila skujua kilichoendelea Mimi
Basi nikaendelea na mambo yangu maana kwanza hayo hayakua yananihusu ni kiherehere changu tu ila ilikuwa kila nikikutana na baba mchungaji kijana nilikuwa naskia kucheka tu huku nasikitika.
Jamani maisha haya dah! Anyway acha mimi niendelee kupata