Ukiwatoa chawa wa mama watu wanaofata kwa ujinga ni madalali.
Anakurupuka tu anakwambia Toyota crown ni mil40 hawana hata aibu,muda wote midomo inatafuna tafuna kama mbuzi kumbe wanatafuna madawa yao ya uchawi wanasubiri uingie kwenye mfumo wakubamize vibaya mno..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.