PreGE2025 Ila CCM tunachukiwa jamani!

PreGE2025 Ila CCM tunachukiwa jamani!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)
Samahani nipo nje ya Mjadala, nautafuta Uzi ulikuwa unasema mama abaki au aachie madaraka?

Mara ya mwisho kuangalia Kura za abaki ziliiuwa 9 na Kura za kuachia madaraka zilikuwa 249.

Ule Uzi sijauona tena au umefutwa?

NB.Hii mada kwenye ule Uzi kuna majibu 100%
Duh kumbe tulimpa watu 9 tu 🤔
 
Kadri siku zinavyoenda tunazidi kuchukiwa. Mmeona comments za watu kuhusu mwenzetu aliyefariki huko Dodoma. Ni hatari.

Yaani kila nikiongea na watu 10 nisiowajua kuhusu siasa, 7-8 kati yao wanatulalamikia CCM na waliobaki basi wanaisema vizuri kinafiki. Juzi nilikuwa na Mwenyekiti wa Wilaya wa CCM wilaya fulani hivi naye anailalamikia CCM yake hasa kwa kutokutenda haki. Siku ya kulipuka hili bomu la chuki dhidi yetu zimekaribia sana. Mwaka huu mpaka kufikia Oktoba mwishoni sijuiiiiii!
Samia anaamini katika machawa
 
CCM ikiendelea kuwakumbatia wahuni, itarudi enzi zile za Msanii JK.
 
Ccm imejenga wapi? viwanja vya michezo tu vimewashinda, ni hospital gani imejengwa na Ccm, Sgr tunadaiwa watanzania wote wewe unaongelea mambo ya CCM hizo trilioni mia na ushee ccm mtazilipa?
We shangilia ili usitekwe
 
TATIZO KUBWA mwenyekiti wetu Dkt Samia. Sijui kimempata kitu gani. Yaani amekuwa na maamuzi yasiyolets umoja. Unajua mfano kumkamata Lisu mtu ambaye hana ushawishi au kuzozana na Gwajiboy ambaye alipaswa ajibiwe na IGP tu itoshe. Yaani inasikitisha sana. Siuoni mwisho mwema wa Dkt Samia kabisa na hakika watanzania tunampenda ila anaonesha chuki kwa vitu vidogo ambavyo yeye kama rais hakupaswa hata kuviongelea.
Sasa hapo ndio tofauti ya watu wenye uzoefu na upngoz vs wale ambao hawana. Nina mashaka sana na washauri wake wanamlisha matango pori, na yeye haingii field kuupata ukweli
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom