Ikumbukwe rais ana nafasi 10 za kuchagua wabunge anaowataka, msishangae Abduli akipewa ubunge baadaye uwaziri moja kwa moja

Ikumbukwe rais ana nafasi 10 za kuchagua wabunge anaowataka, msishangae Abduli akipewa ubunge baadaye uwaziri moja kwa moja

Mawaziri wote wapo chini yake afu akubali kuwa waziri? Doesn't make no sense.
Kila kiongozi anayeingia madarakani anatengeneza njia ya kizazi chake nacho kiingie madarakani.

Salma Kikwete ,mumewe ni rais mpaka leo ila yeye anapambana na ubunge.
 
Mimi naomba Abdully apewe uwaziri wa mambo ya ndani.
Hii itamsadia kua karibu na jamaa zake mapolisi
 
Ikimpendeza ampe uraisi mwenza kabisa, sio hata makamo. Yani wote wawe na nguvu na mamlaka sawa.

Akiona inafaa Wanu awe makamo wake, Mchengerwa waziri mkuu, mtalaka wake Hafidh awe speaker wa bunge.

Kwa kifupi na nchi aibadilishe jina kabisa iwe Jamhuri ya Chura Kiziwi.
 
Ikimpendeza ampe uraisi mwenza kabisa, sio hata makamo. Yani wote wawe na nguvu na mamlaka sawa.

Akiona inafaa Wanu awe makamo wake, Mchengerwa waziri mkuu, mtalaka wake Hafidh awe speaker wa bunge.

Kwa kifupi na nchi aibadilishe jina kabisa iwe Jamhuri ya Chura Kiziwi.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom