kichomiz
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 20,315
- 13,368
Nyie subirini tu na makelele yenu muda so mrefu hatuta waona humu kwa aibuMagu amesimamia wizara ya ujenzi kwa miaka 20 tunaijua misimamo yake na kazi zake tunazijua. Nilimpigia kura Magufuli siyo kwa kubahatisha.
Ndio kwanza gia namba moja