Ndugu HNIC kama uoni matatizo ya gmail kutumiwa na Ikulu, inaelekea matatizo unayo wewe.
acha dharau wewe
gmail ina matatizo gani?
Wengi ni wachumia tumbo wasiopenda mabadiliko ama kwa uvivu tu wa kutokujifunza mambo mapya ama hawajaelimika kabisa.Kuna tovuti ya wananchi ilianzishwa kwa mbwembwe sana lakini hamna kitu, ukituma maoni au maswali ukifuatilia jibu ni moja tu miaka yote; "suala lako linashughurikiwa" .Aibu tupu!.Mimi nimeshangaa sana, bado kuna maprofessor na ma-Dr hawawezi kutumia computer,sasa huko serikalini ndo wamejaa sana, ila simu za touch zimesaidia sana!
ni aibuBaada ya wana JF kuwasuta weee sasa wamebadili e-mail. sasa wanatumia GMAIL.
Si haba maana baada ya miaka 50 ya uhuru mwendo ndio huo na nina hakika mheshimiwa Rais anasoma hii maada na kuona jinsi gani watendaji wake walivyokuwa wanajua kutumia pesa.
Bajeti ya idara ya mawasiliano kwa mwaka ni dola milioni 10 lakini wameshindwa kuwa na e-mail zinazoeleweka
MUNGU IBARIKI TANGANYIKA ( Sijajua Ikulu zanzibar kama bado wanatumia NETSCAPE au HOTMAIL)
Tazama hapa:
MICHUZI BLOG: RAIS KIKWETE ZIARANI NCHINI MAREKANI