HNIC
JF-Expert Member
- Sep 6, 2011
- 1,898
- 2,202
Baada ya wana JF kuwasuta weee sasa wamebadili e-mail. sasa wanatumia GMAIL.
Si haba maana baada ya miaka 50 ya uhuru mwendo ndio huo na nina hakika mheshimiwa Rais anasoma hii maada na kuona jinsi gani watendaji wake walivyokuwa wanajua kutumia pesa.
Bajeti ya idara ya mawasiliano kwa mwaka ni dola milioni 10 lakini wameshindwa kuwa na e-mail zinazoeleweka
MUNGU IBARIKI TANGANYIKA ( Sijajua Ikulu zanzibar kama bado wanatumia NETSCAPE au HOTMAIL)
Tazama hapa:
MICHUZI BLOG: RAIS KIKWETE ZIARANI NCHINI MAREKANI
Si haba maana baada ya miaka 50 ya uhuru mwendo ndio huo na nina hakika mheshimiwa Rais anasoma hii maada na kuona jinsi gani watendaji wake walivyokuwa wanajua kutumia pesa.
Bajeti ya idara ya mawasiliano kwa mwaka ni dola milioni 10 lakini wameshindwa kuwa na e-mail zinazoeleweka
MUNGU IBARIKI TANGANYIKA ( Sijajua Ikulu zanzibar kama bado wanatumia NETSCAPE au HOTMAIL)
Tazama hapa:
MICHUZI BLOG: RAIS KIKWETE ZIARANI NCHINI MAREKANI