sindano butu
JF-Expert Member
- Aug 20, 2012
- 503
- 157
Kama tabia ya nyoka alivyo, nyoka huogopa watu na hutemea watu sumu au kuuma kabisa mtu akimsogelea ! now, tabia ya MAOFISA WA IKULU ni kama MAJOKA wanaouma watu au kutemea sumu watu pale wakiwa pamoja au humwinda mtu kumfanya kitowoe kokote wakimuona pekeyake au hata kwenye kundi la watu! uoga wa hao maofisa ni mkubwa mpaka wanamtemea SUMU MWANAHALISI! "LIPO JOKA RAMA linalodhuru mtu yoyote na kumfanya kitowoe baada ya kutumwa na BABA LAO. jamani, wakati umefika TUYAWINDE HAYO MAJOKA kwa kuweka mtego wa MOVEMENT FOR CHANGE! ila cha muhimu sana nikuli tega anayewatunza CCM. NOW ,wadau;je mtego wa MOVEMENT FOR CHANGE UNATOSHA!!!je kunasababu yeyote majoka hayo yanakuwa waoga?