Kama kawa ndani jela
Seya tutoke woote oh oh,Baba na Mwana tunaimba na kucheza.Kama kawa ndani jela
ww unamzia salma au mumewe?
Alafu inaonekana bado hujamalizia usingizi wako.
Seya tutoke woote oh oh,Baba na Mwana tunaimba na kucheza.
...ukiwa mwanaume au mwanamke????hivi inakuwaje siku umelala nyumbani kwako alafu asubuhi unaamka unajikuta upo kitandani kwa mhe.Rais alafu yeye anaoga bafuni wakati huo first lady bado hajaamka anamalizia usingizi pembeni yako..je utafanyaje wananchi wakuelewe?