GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,738
- 109,167
Kwa jinsi Kikao kinavyoendelea natabiri kuwa leo jioni au Kesho asubuhi kuna Wakubwa wa Tanesco Makao Makuu, UWURA na Mikoani na hata Wizarani wanaenda Kutumbuliwa. Siku hizi Mheshimiwa Rais amebuni mbinu mpya ambapo akishapata tu Madudu ya Watendaji wake huwa hawatumbui Kwanza na badala yake anawatega kisha anawasakizia kwa Watu ili wasemwe vibaya halafu hapo hapo apate sababu ya Kuwatumbua na asilaumiwe au kuonekana mbaya.
Nawaomba Wakubwa wa Tanesco, UWURA na Wizara ya husika ya Nishati kuanzia sasa waanze Kuaga na Kujiandaa Kisaikolojia kwani kuna Watu wanatafutwa na leo ndiyo Siku yao ya Kupatiwa sababu ili Waondolewe katika Nafasi zao hizo husika.
Nawaomba Wakubwa wa Tanesco, UWURA na Wizara ya husika ya Nishati kuanzia sasa waanze Kuaga na Kujiandaa Kisaikolojia kwani kuna Watu wanatafutwa na leo ndiyo Siku yao ya Kupatiwa sababu ili Waondolewe katika Nafasi zao hizo husika.