Cognitivist
JF-Expert Member
- Aug 7, 2011
- 1,057
- 2,093
Usishangae sana mama, huyu ni rais wa ajabu kuwahi kutokea katika Tanzania hiiYeye anajiweka live, ila hataki Wabunge tuwaone live. Mzee selfish huyu jamani sijapata kuona. Ila nyie Wabunge hebu rudisheni bunge live why Yeye kila anachofanya anajiweka live ?