soine
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 2,113
- 2,329
Ni leo tarehe 06/12/2018 . Bosi huyo wa Zamani na swahiba mkubwa wa Lowassa apongeza Miradi mikubwa inayofanywa na Serikali ya awamu ya tano. Abson ametoa wito kwa Wananchi kuipa ushirikiano Serikali ya JPM
View attachment 958041
Hivi hizi taarifa zina umuhimu wowote kwa jamii?
Au kuna mtu anatishwa!!