Mama Samia tunasubiri hatua za kisheria na kinidhamu dhidi ya ubadhilifu wa fedha uliofanyika BOT. Majizi yamepiga mahela ndefu alafu mnakuja kutulea makodi rai maskini.
Mungu anawaona Mama ulianza viuri lakini wanakuingiza chaka sana watendaji wako.
Aiseee 2025 sijui, sie tunakuangalia tu