technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 11,975
- 48,843
Elimu ambayo ukiwa class tree unakuwa una uwezo mkubwa wa kuandika maneno kupitia dictation? iko wapi elimu ya uandishi wa insha mtoto anamaliza class seven ana uwezo mkubwa wa kutunga story za kusisimua kupitia Insha.
Sina tatizo na elimu ya nyuma uko yaani sijawataja kwa sababu ndio wameshababisha ufisadi wa kutisha serikalini, wale waliosoma miaka ya 1940-1989 wanajua ni jins gani wamesababisha hasara kwa taifa letu.
Tuliosoma 1990-2005 wenge wako sector binafsi na waliopo serikalini hawajapata nafasi ya kulitumikia taifa ipasavyo lakini wengi tumefanya mapinduzi makubwa kwenye sector binafsi niko tayari kukosolewa ila naamini watu waliosoma kipindi iki wengi ndio wana uwezo mkubwa wa kuhoji mambo mengi.
Nani kazika elimu yetu? nini tatizo je walimu wanaandaliwa ipasavyo kama zamani? je wanafunzi ndio tatizo? nahitaji mjadala wa kitaifa.
Sina tatizo na elimu ya nyuma uko yaani sijawataja kwa sababu ndio wameshababisha ufisadi wa kutisha serikalini, wale waliosoma miaka ya 1940-1989 wanajua ni jins gani wamesababisha hasara kwa taifa letu.
Tuliosoma 1990-2005 wenge wako sector binafsi na waliopo serikalini hawajapata nafasi ya kulitumikia taifa ipasavyo lakini wengi tumefanya mapinduzi makubwa kwenye sector binafsi niko tayari kukosolewa ila naamini watu waliosoma kipindi iki wengi ndio wana uwezo mkubwa wa kuhoji mambo mengi.
Nani kazika elimu yetu? nini tatizo je walimu wanaandaliwa ipasavyo kama zamani? je wanafunzi ndio tatizo? nahitaji mjadala wa kitaifa.