ryan riz
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 422
- 675
Kumekuwa na habari au tuseme uvumi mwingi mitaani kwamba miradi mingi ya biashara au ujenzi kusimamishwa au kuwekewa vikwanzo..sababu hasa ikiwa wahusika walijihusisha na siasa za kusaidia upinzani...Hii kwangu kama ni kweli naona serikali au watawala wanakosea sana...maana hawakafikiria wanapoteza ajira ngapi?wanapoteza kodi na pia maendeleo ya miji..nachoomba kama kweli haya mambo yapo watawala jiangalieni..