Ikiwa mchakato wa Katiba mpya wa awali ulikwama kwa ubinafsi wa viongozi wa vyama vya siasa, kuna haja gani ya kuanzisha michakato mwingine?

Ikiwa mchakato wa Katiba mpya wa awali ulikwama kwa ubinafsi wa viongozi wa vyama vya siasa, kuna haja gani ya kuanzisha michakato mwingine?

Nimekuweka kwenye kundi la Wajinga kwa sababu unatetea upuuzi.Ina maana kila mtu anayegombea kwa tiketi ya chama kingine cha siasa hajui kusoma na kuandika vizuri???Siyo Raia wa nchi hii???Ni criminal?? Acha ujinga wewe.Rejea yaliyotendeka 2019 ndiyo uje na majibu sahihi.
niite utakavyo gentleman,
lakini ukweli huo uende ukamueleze hata mwenyekiti wa chama chako, kwamba haiwezekani.

muhamasishe watu wasijiandikishe kwaajili ya kupiga kura, halafu kwenye uteuzi mnaleta watu wasio na sifa za kua viongozi,

nikuhakikishie tu,
hayupo mgombea asie na sifa ataruhusiwa kugombea uongozi humu nchini, wa ngazi zote :NoGodNo:
 
Narudia tena, hitimisho lako la wabunge wengi kwa mujibu wa cdm, ni mtazamo wako wa muundo wa kiutawala wa ccm wa sasa. Ndio nimekuambia acha kutoa majibu ya kwenye utawala wa cdm, kwa muundo huu wa kiccm. Kipi huelewi hapo?
Mkuu naona umeamua kabisa kujifanya mpuuzi.
 
Kwenye Derby ndio kuna msisimka,lakini kwenye siasa kuna masultani.
Ambao kama hujafika bei wanakuwa wakali kuliko Kaisali.Mara vuu muamala umeitika, wantakupamba kwa kila hali.

Nadhani we the people isiwe we the party ndio tutaenda vizuri Kidemokrasia.
Ni haramu kumuabudu mtu,sio Mungu.
Turudi kwa Mtikila kuwepo na wagombea binafsi.Mgombea binafsi atakuwa huru sio eti chama cha maandazi mwenyekiti hataki barabara ijengwe kwa kuwa hajakaribishwa "hakupewa bahasha"
huyo mgombea binafsi labda akagombee uongozi kenya gentleman, tz tuandeal na mambo ya waTanzania wote kwa ujumla, mambo ya kibinafsi hakuna :NoGodNo:
 
huyo mgombea binafsi labda akagombee uongozi kenya gentleman, tz tuandeal na mambo ya waTanzania wote kwa ujumla, mambo ya kibinafsi hakuna :NoGodNo:
Usultani unaanzia kwenye vyama,watu mwanzoni walishabikia vyama kumbe nothing tangible na mwisho wananchi wamekata tamaa.
Walio wengi wamerudisha nguvu zao kwenye chama dume hata kama kina changamoto nyingi.

Party politics kwa nchi yetu zimeprove failure kwa sababu mbali mbali.
Na jinsi dunia inavyopitia mabadiriko ya kisiasa na uchumi,China akiwa na kete nyingi za uchumi.Na Trump akitishia Washirika wenzake hakuna nchi za European Union ataweka pesa kuleta mageuzi ya demokrasia Africa,wakati wao mrusi na marekani amewakalia vibaya.
 
Back
Top Bottom