Ikiwa mchakato wa Katiba mpya wa awali ulikwama kwa ubinafsi wa viongozi wa vyama vya siasa, kuna haja gani ya kuanzisha michakato mwingine?

Ikiwa mchakato wa Katiba mpya wa awali ulikwama kwa ubinafsi wa viongozi wa vyama vya siasa, kuna haja gani ya kuanzisha michakato mwingine?

Kama wewe unapenda na kujua mijadaa muhimu . Tuanze na ule wa katiba ya ccm iliyokiukwa pale dodoma. Kisha turejee haya mengine.
Vinginevyo huna lolote zaidi ya uchawa. Unawaita watu VIBAKA wakati vibaka unao hapo lumumba?
Vipi katiba ya ccm ikiukwe bila kujadili.
kuhusu hayo malalamiko yako binafsi,
mtu muungwana anaandikia uzi mahususi ili hatimae wadau wajadili na sio kujificha kwenye hoja nyingine mezani.
hata hivyo,
vibaka na matapeli wa kisiasa nchini wamepanga ratiba ya kwenda kuwatapeli pesa wananchi maskini huko mikoani kwa tone tone, Lakini pia wanaenda eti kujaribu kuwadhulumu fikra na kuwarubuni uhuru na haki za kikatiba za wananchi kushiriki kupiga kura.

Hao sio matapeli?🐒
 
Punguza utoto dogo, inaonekana ulikuwa umeusahau ukweli huo ukabaki kwenye propaganda. Sasa nimekukumbusha ukweli ndio unaleta hizi story za kipuuzi.
Gentleman,
tathimini ya kina ya kitaalamu ilionyesha na kugundua kwamba hapakua na uhitaji wa katiba mpya kabisaa Tanzania kwa kipindi kile na hata kipindi kijacho. Kuna mambo machache tu yanafaa kuboreswa kwenye katiba iliyopo sasa 🐒
 
Gentleman,
bilashaka unaniunga mkono kwamba hakuna haja kabisaa ya kuanzisha mchakato wa katiba mpya wenye gharama kubwa Tanzania, hali ya kua vipo vyama vimejiandaa kuvuruga na kuukwamisha mchakato huo,

Hata hivyo ni muhimu sana kujiepusha na uoptoshaji🐒
Ngoja Tusubiri tuone hii movie 🎥 !
Upotoshaji haufai na hauna faida ila Ukweli ni muhimu kuwekwa wazi japo wengine hawapendi kusikia hivyo Gentleman 😳 🙌. !
 
Unafikiri hili lilitokea kwa bahati mbaya?watawala walishaamua kwamba hili mambo yao yaende vizuri lazima lizalishe taifa la wajinga,,taifa ambalo haliwezi kuhoji masuala muhimu ya nchi,,,ndo maana watanzania wanapenda skendo za watu maarufu kuliko kuhoji ufisadi unaofanyika
 
Unafikiri hili lilitokea kwa bahati mbaya?watawala walishaamua kwamba hili mambo yao yaende vizuri lazima lizalishe taifa la wajinga,,taifa ambalo haliwezi kuhoji masuala muhimu ya nchi,,,ndo maana watanzania wanapenda skendo za watu maarufu kuliko kuhoji ufisadi unaofanyika
kwahiyo kumbe wale jamaa wa kususia bunge la katiba walifanya vile kwa makusudi gentleman?

Sasa si watarudia tu kususa ikiwa pataazishwa tena mchakato mwingine wa katiba mpya?

kwahiyo miongoni mwa hao wajinga nawe umo?

maana wasomi wamejazana mno mtaani na sifahamu wajinga wako wapi hali ya kua wajinga waliisha kitambo sana Tanazania?🐒
 
kwahiyo kumbe wale jamaa wa kususia bunge la katiba walifanya vile kwa makusudi gentleman?

Sasa si watarudia tu kususa ikiwa pataazishwa tena mchakato mwingine wa katiba mpya?

kwahiyo miongoni mwa hao wajinga nawe umo?

maana wasomi wamejazana mno mtaani na sifahamu wajinga wako wapi hali ya kua wajinga waliisha kitambo sana Tanazania?🐒
Niombe radhi we mwehu,,mimi siyo mjinga,,,nimetoa maoni yangu,,wanasiasa ndiyo wanaopigania katiba mpya kwa maslahi yao,,,
 
Usiwe mjinga, usitazame muundo wa cdm kwa mitazamo ya kiccm.
Unajua majimbo ya uchaguzi yako mangapi Tanzania? Unajua idadi ya sasa ya wabunge? Kama hukufeli Hisabati darasa la 7 nadhani unaweza kupata jibu sahihi.
 
Tlaatlaah msalimie Lucas Mwashambwa . Nasikia yeye kahamishiwq kitengo kingine na yumo kwenye msafara wa Mzee Wassira.

Uwezo wenu wa kutengeneza propaganda za kueleweka Kwa kizazi hiki cha wanafunzi tarajali wa VETA, upo chini.

Hamjiulizi ni kwa nini kila pambio jipya la kumpamba mama linabuma ? Hawa huko VETA mtawatoa tu maana watakubadilisha.
 
Kwasababu bado dhana na hali ya kususia imetanda miongoni mwa vyama vya siasa, ikiwa ni pamoja na vyama vya siasa ambavyo vimeamua kujitenga na michakato ya kidemokrasi na kujikita kutafuta pesa za matumizi ya viongozi wa vyama hivyo hususani tunapoelekea uchaguzi mkuu wa October mwaka huu 2025.

Bilashaka yoyote hiyo inamaanisha katiba mpya sio kipaumbele cha wananchi bali pesa ndio kila kitu kwa baadhi ya vyama vya siasa, na kwahiyo hakuna haja kwa serikali kuanzisha mchakato wa gharama kubwa ambao mwisho wa siku unaishia njiani na hatimae kua hasara na mzigo kwa wananchi walipa kodi wa Tanzania.

Waliopewa dhamana ya uongozi wa taifa, ni muhimu zaidi wakajikita kutekeleza wajibu wao wa kikatiba wa kuwafanyia kazi waTanzania wote. hakuna sababu ya maana hata moja kuanzisha mchakato wa katiba mpya katika wakati wowote ujao, kwasababu baadhi ya vyama vya siasa wamejipanga kuvuruga michakato yote ya kidemokrasi ikiwa ni pamoja na uchaguzi mkuu kama walivyovuruga mchakato wa katiba wa awali kwa maslahi yao binafsi.

Kwa maoni yangu,
Serikali ijikite katika kuwatumikia waTanzania na kutimiza vipaumbele vya mahitaji yao ya kila siku kama vile maji, afya, elimu, kilimo, ufugaji, nishati, miundombinu n.k, kuliko kufuja pesa kwenye mambo ambayo si kipaumbele cha wananchi.

una maoni gani?🐒


Mungu Ibariki Tanzania
Hayo unayotaka nchi ijikite kuboresha lazima just na mwongozo (katiba)mzuri. Haiwezekani mtu apewe dhamana ya kutekeleza hayo bika mwongozo na afanye anavyotaka bila kuwajibishwa akila kwa urefu wa kamba yake.
Katiba Bora ni muhimu Sana.
 
Unajua majimbo ya uchaguzi yako mangapi Tanzania? Unajua idadi ya sasa ya wabunge? Kama hukufeli Hisabati darasa la 7 nadhani unaweza kupata jibu sahihi.
Peleka ujinga mbali, nani kakuambia cdm wakiingia maadarakani watatumia modality hii ya ccm ya kiutawala?
 
Takataka
Kwasababu bado dhana na hali ya kususia imetanda miongoni mwa vyama vya siasa, ikiwa ni pamoja na vyama vya siasa ambavyo vimeamua kujitenga na michakato ya kidemokrasi na kujikita kutafuta pesa za matumizi ya viongozi wa vyama hivyo hususani tunapoelekea uchaguzi mkuu wa October mwaka huu 2025.

Bilashaka yoyote hiyo inamaanisha katiba mpya sio kipaumbele cha wananchi bali pesa ndio kila kitu kwa baadhi ya vyama vya siasa, na kwahiyo hakuna haja kwa serikali kuanzisha mchakato wa gharama kubwa ambao mwisho wa siku unaishia njiani na hatimae kua hasara na mzigo kwa wananchi walipa kodi wa Tanzania.

Waliopewa dhamana ya uongozi wa taifa, ni muhimu zaidi wakajikita kutekeleza wajibu wao wa kikatiba wa kuwafanyia kazi waTanzania wote. hakuna sababu ya maana hata moja kuanzisha mchakato wa katiba mpya katika wakati wowote ujao, kwasababu baadhi ya vyama vya siasa wamejipanga kuvuruga michakato yote ya kidemokrasi ikiwa ni pamoja na uchaguzi mkuu kama walivyovuruga mchakato wa katiba wa awali kwa maslahi yao binafsi.

Kwa maoni yangu,
Serikali ijikite katika kuwatumikia waTanzania na kutimiza vipaumbele vya mahitaji yao ya kila siku kama vile maji, afya, elimu, kilimo, ufugaji, nishati, miundombinu n.k, kuliko kufuja pesa kwenye mambo ambayo si kipaumbele cha wananchi.

una maoni gani?🐒


Mungu Ibariki Tanzania
 
Peleka ujinga mbali, nani kakuambia cdm wakiingia maadarakani watatumia modality hii ya ccm ya kiutawala?
Mkuu tunaongelea sera ya CHADEMA kuhusu kila jimbo kuwa na wabunge wawili. CCM haihusiki na hili. Au umeamua kuwa mpumbavu na kujifanya huelewi?
 
Kasome rasimu ya Warioba ili ujue mapungufu yake.
Kwa hiyo Rasimu ya Katiba ya Warioba iliyotokana na maoni ya wananchi kote nchini ina mapungufu, kuliko katiba yenu mbovu ya mwaka 1977, na ambayo mlichaguana watu wachache kuiandaa kwa lengo la kulinda maslahi yenu binafsi!!
 
Niombe radhi we mwehu,,mimi siyo mjinga,,,nimetoa maoni yangu,,wanasiasa ndiyo wanaopigania katiba mpya kwa maslahi yao,,,
kumbe tupo pamoja?!!?
halafu, unayo kweli hiyo radhi gentleman?

Naomba nikujulishe na ufahamu hivyo tangu sasa kwamba Tanzania wajinga waliisha kitambo sana,
changamoto iliyopo sasa kwa graduates ni uvivu na kuchagua kazi.

huku vibaka na matapeli wa kisiasa wakiwahangaisha mara wagie pesa kwa matone tone mara no reform no elections n.k🐒
 
acha upooshaji gentleman,
serikali tatu ilikua ni maoni ya Warioba.

hebu waeleze wadau kwanza kwa kifupi,
hivi waliosusa bunge la katiba pale Dodoma ni chadema na msimamo wao au wananchi?🐒
Wewe ni CHAWA tu! Huu mjadala haukuhusu. Nadhani ungejikita kwenye jukumu lako kuu la kusifia mabosi wako 24/7 humu jukwaani, ili mkono uende kinywani.
 
Tlaatlaah msalimie Lucas Mwashambwa . Nasikia yeye kahamishiwq kitengo kingine na yumo kwenye msafara wa Mzee Wassira.

Uwezo wenu wa kutengeneza propaganda za kueleweka Kwa kizazi hiki cha wanafunzi tarajali wa VETA, upo chini.

Hamjiulizi ni kwa nini kila pambio jipya la kumpamba mama linabuma ? Hawa huko VETA mtawatoa tu maana watakubadilisha.
jikite kwenye hoja mahususi mezani gentleman,

na salamu kwa ulie mtag zimefika , na ana kusoma vyema sana, ila tu yupo safari maalumu yenye mambo mengi kidogo, inamuwia vigumu kupost au kureply kwa wakati 🐒
 
Kwasababu bado dhana na hali ya kususia imetanda miongoni mwa vyama vya siasa, ikiwa ni pamoja na vyama vya siasa ambavyo vimeamua kujitenga na michakato ya kidemokrasi na kujikita kutafuta pesa za matumizi ya viongozi wa vyama hivyo hususani tunapoelekea uchaguzi mkuu wa October mwaka huu 2025.

Bilashaka yoyote hiyo inamaanisha katiba mpya sio kipaumbele cha wananchi bali pesa ndio kila kitu kwa baadhi ya vyama vya siasa, na kwahiyo hakuna haja kwa serikali kuanzisha mchakato wa gharama kubwa ambao mwisho wa siku unaishia njiani na hatimae kua hasara na mzigo kwa wananchi walipa kodi wa Tanzania.

Waliopewa dhamana ya uongozi wa taifa, ni muhimu zaidi wakajikita kutekeleza wajibu wao wa kikatiba wa kuwafanyia kazi waTanzania wote. hakuna sababu ya maana hata moja kuanzisha mchakato wa katiba mpya katika wakati wowote ujao, kwasababu baadhi ya vyama vya siasa wamejipanga kuvuruga michakato yote ya kidemokrasi ikiwa ni pamoja na uchaguzi mkuu kama walivyovuruga mchakato wa katiba wa awali kwa maslahi yao binafsi.

Kwa maoni yangu,
Serikali ijikite katika kuwatumikia waTanzania na kutimiza vipaumbele vya mahitaji yao ya kila siku kama vile maji, afya, elimu, kilimo, ufugaji, nishati, miundombinu n.k, kuliko kufuja pesa kwenye mambo ambayo si kipaumbele cha wananchi.

una maoni gani?🐒


Mungu Ibariki Tanzania
Nani kakwambia kuwa katiba siyo kipaumbele cha wananchi? Au kwa sababu wengi humu wanakupuuza ndiyo sababu ya kuongea ujinga ujinga
 
Wewe ni CHAWA tu! Huu mjadala haukuhusu. Nadhani ungejikita kwenye jukumu lako kuu la kusifia mabosi wako 24/7 humu jukwaani, ili mkono uende kinywani.
umefikia ukomo wa mawazo mapya na fikra mbadala mapema hivyo gentleman?

masikhara hayo,
mikono ya waTanzania wote inakwenda kinywani kwasabb ya kazi na jitihada kubwa sana za serikali sikivu iliyoko madarakani,

hata uhuru na haki ya yako ya kutoa maoni na mtazamo wako humu JF na mahali pengine ni kwasabb ya mazingira mazuri sana ya usawa yaliyowekwa na serikali sikivu iliyoko madarakani.

ama unataka kusema?

kuna haja kweli ya mchakato mwingine wa katiba hali ya kua wa mwanzo uligomewa kwa makusudi na matapeli wa kisiasa?🐒
 
Back
Top Bottom