Ikiwa mchakato wa Katiba mpya wa awali ulikwama kwa ubinafsi wa viongozi wa vyama vya siasa, kuna haja gani ya kuanzisha michakato mwingine?

Ikiwa mchakato wa Katiba mpya wa awali ulikwama kwa ubinafsi wa viongozi wa vyama vya siasa, kuna haja gani ya kuanzisha michakato mwingine?

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
36,155
Reaction score
30,829
Kwasababu bado dhana na hali ya kususia imetanda miongoni mwa vyama vya siasa, ikiwa ni pamoja na vyama vya siasa ambavyo vimeamua kujitenga na michakato ya kidemokrasi na kujikita kutafuta pesa za matumizi ya viongozi wa vyama hivyo hususani tunapoelekea uchaguzi mkuu wa October mwaka huu 2025.

Bilashaka yoyote hiyo inamaanisha katiba mpya sio kipaumbele cha wananchi bali pesa ndio kila kitu kwa baadhi ya vyama vya siasa, na kwahiyo hakuna haja kwa serikali kuanzisha mchakato wa gharama kubwa ambao mwisho wa siku unaishia njiani na hatimae kua hasara na mzigo kwa wananchi walipa kodi wa Tanzania.

Waliopewa dhamana ya uongozi wa taifa, ni muhimu zaidi wakajikita kutekeleza wajibu wao wa kikatiba wa kuwafanyia kazi waTanzania wote. hakuna sababu ya maana hata moja kuanzisha mchakato wa katiba mpya katika wakati wowote ujao, kwasababu baadhi ya vyama vya siasa wamejipanga kuvuruga michakato yote ya kidemokrasi ikiwa ni pamoja na uchaguzi mkuu kama walivyovuruga mchakato wa katiba wa awali kwa maslahi yao binafsi.

Kwa maoni yangu,
Serikali ijikite katika kuwatumikia waTanzania na kutimiza vipaumbele vya mahitaji yao ya kila siku kama vile maji, afya, elimu, kilimo, ufugaji, nishati, miundombinu n.k, kuliko kufuja pesa kwenye mambo ambayo si kipaumbele cha wananchi.

una maoni gani?🐒


Mungu Ibariki Tanzania
 
Nchi yetu bado utashi wa kupata katiba haupo,wananchi hawana Elimu ya uraia,Yanga na Simba ndiyo top stories vijiweni.... huwezi kusikia Bima ya Afya,wizi wa mali za umma, mazingira bora ya shule za Serikali......na wanasiasa wanazitumia timu za Kariakoo,usikute hata kuahirisha derby ni serikali imefanya ilimijadala ya uchaguzi au Samia kupitishwa kinyume na Katiba ya chama isiwepo.

Kwa Tz bado labda kuanzia 2050 huko wengine tukiwa wataokuwepo wanaweza kushuhudia changes, kwasasa ni uchawalism tu, inasikitisha
 
Nchi yetu bado utashi wa kupata katiba haupo,wananchi hawana Elimu ya uraia,Yanga na Simba ndiyo top stories vijiweni.... huwezi kusikia Bima ya Afya,wizi wa mali za umma, mazingira bora ya shule za Serikali......na wanasiasa wanazitumia timu za Kariakoo,usikute hata kuahirisha derby ni serikali imefanya ilimijadala ya uchaguzi au Samia kupitishwa kinyume na Katiba ya chama isiwepo.

Kwa Tz bado labda kuanzia 2050 huko wengine tukiwa wataokuwepo wanaweza kushuhudia changes, kwasasa ni uchawalism tu, inasikitisha
Gentleman,
derby si ni jambo la bodi huru ya ligi, Serikali inawezaje kuingilia mambo ya michezo?🐒
 
Kwasababu bado dhana na hali ya kususia imetanda miongoni mwa vyama vya siasa, ikiwa ni pamoja na vyama vya siasa ambavyo vimeamua kujitenga na michakato ya kidemokrasi na kujikita kutafuta pesa za matumizi ya viongozi wa vyama hivyo hususani tunapoelekea uchaguzi mkuu wa October mwaka huu 2025.

Bilashaka yoyote hiyo inamaanisha katiba mpya sio kipaumbele cha wananchi bali pesa ndio kila kitu kwa baadhi ya vyama vya siasa, na kwahiyo hakuna haja kwa serikali kuanzisha mchakato wa gharama kubwa ambao mwisho wa siku unaishia njiani na hatimae kua hasara na mzigo kwa wananchi walipa kodi wa Tanzania.

Waliopewa dhamana ya uongozi wa taifa, ni muhimu zaidi wakajikita kutekeleza wajibu wao wa kikatiba wa kuwafanyia kazi waTanzania wote. hakuna sababu ya maana hata moja kuanzisha mchakato wa katiba mpya katika wakati wowote ujao, kwasababu baadhi ya vyama vya siasa wamejipanga kuvuruga michakato yote ya kidemokrasi ikiwa ni pamoja na uchaguzi mkuu kama walivyovuruga mchakato wa katiba wa awali kwa maslahi yao binafsi.

Kwa maoni yangu,
Serikali ijikite katika kuwatumikia waTanzania na kutimiza vipaumbele vya mahitaji yao ya kila siku kama vile maji, afya, elimu, kilimo, ufugaji, nishati, miundombinu n.k, kuliko kufuja pesa kwenye mambo ambayo si kipaumbele cha wananchi.

una maoni gani?🐒


Mungu Ibariki Tanzania
Elewa kwanxa yaliyoandikwa kwenye ibara (8) ya katiba ili uache kubwabwaja kama mwehu
 
Elewa kwanxa yaliyoandikwa kwenye ibara (8) ya katiba ili uache kubwabwaja kama mwehu
hakuna haja ya hayo yote gentleman ikiwa wanasiasa kwa ubinafsi wao hawaoni haja ya ya jambo hilo na wameamua kujitenga na michakato yoyote ya kidemokrasia.

sasa hiyo ibara ina umuhimu gani tena gentleman?🐒
 
Nchi yetu bado huijui vizuri mkuu
ni vigumu kujua mambo yote gentleman, ndio maana kuna majukwaa kama haya ya kuelimishishana na hatimae kuongeza uelewa na ufahamu wa wadau juu ya masuala mbalimbali humu nchini,

inawezekana kabisa ninalojua mimi wewe hujui, na katika mijadala ndipo sasa tunajulishana mambo hayo 🐒
 
hakuna haja ya hayo yote gentleman ikiwa wanasiasa kwa ubinafsi wao hawaoni haja ya ya jambo hilo na wameamua kujitenga na michakato yoyote ya kidemokrasia.

sasa hiyo ibara ina umuhimu gani tena gentleman?🐒
Wewe hujaisoma badala yake unatoa maoni binafsi. Nimekuambia soma ibara ya 8 ya katiba ya JMT.
Usibwabwaje kama mwehu
 
Kwasababu bado dhana na hali ya kususia imetanda miongoni mwa vyama vya siasa, ikiwa ni pamoja na vyama vya siasa ambavyo vimeamua kujitenga na michakato ya kidemokrasi na kujikita kutafuta pesa za matumizi ya viongozi wa vyama hivyo hususani tunapoelekea uchaguzi mkuu wa October mwaka huu 2025.

Bilashaka yoyote hiyo inamaanisha katiba mpya sio kipaumbele cha wananchi bali pesa ndio kila kitu kwa baadhi ya vyama vya siasa, na kwahiyo hakuna haja kwa serikali kuanzisha mchakato wa gharama kubwa ambao mwisho wa siku unaishia njiani na hatimae kua hasara na mzigo kwa wananchi walipa kodi wa Tanzania.

Waliopewa dhamana ya uongozi wa taifa, ni muhimu zaidi wakajikita kutekeleza wajibu wao wa kikatiba wa kuwafanyia kazi waTanzania wote. hakuna sababu ya maana hata moja kuanzisha mchakato wa katiba mpya katika wakati wowote ujao, kwasababu baadhi ya vyama vya siasa wamejipanga kuvuruga michakato yote ya kidemokrasi ikiwa ni pamoja na uchaguzi mkuu kama walivyovuruga mchakato wa katiba wa awali kwa maslahi yao binafsi.

Kwa maoni yangu,
Serikali ijikite katika kuwatumikia waTanzania na kutimiza vipaumbele vya mahitaji yao ya kila siku kama vile maji, afya, elimu, kilimo, ufugaji, nishati, miundombinu n.k, kuliko kufuja pesa kwenye mambo ambayo si kipaumbele cha wananchi.

una maoni gani?🐒


Mungu Ibariki Tanzania
Mtu hawezi kuwa na mpango na vitu ambavyo havimfaidishi kwa lolote. Watu wakijua faida za katiba nzuri ndio watakuwa na muamko. It means mpaka waone kwa vitendo tofauti ya katiba mbovu na nzuri. Hio katiba yenye manufaa na raia bado haipo na ndio inapiganiwa iwepo.
 
Marekebisho ya katiba ni muhimu ila wanasiasa wana vipaumbele vyao vya kipumbavu sana ndo maana mchakato hauwezi kufanikiwa. Katiba ikiwa nzuri hayo maendeleo kwa wananchi ni rahisi kupatikana. Kwa mfano kwa sasa kuna sheria nyingi zinazolalamikiwa hasa hizi za mambo ya kodi. Wananchi wengi wanaitupia lawama TRA na kusahau kuwa TRA ni watelekezaji tu wa sheria iliyotungwa na bunge. Wabunge wetu ni wa kulaumiwa ila nao kuwalaumu ni kupoteza muda kwa sababu wengi wao ni vilaza wenye elimu duni walioingia bungeni kwa kigezo cha kujua kusoma na kuandika. Kwa tulipofikia katiba ifanyiwe marekebisho na kuzuia vilaza kuingia bungeni.

Wanasiasa wao wanataka katiba ibadilishwe na kuongeza vyeo vya wao kupata ulaji. CHADEMA na wachumia tumbo wengine wanachotaka ni katiba iruhusu kuundwa serikali tatu na kuwepo kwa wabunge wawili kila jimbo. Yaani vipaumbele vyao ni maumivu makali mno kwa mwananchi mlipa kodi endapo watafanikiwa.

Ni bora kuendelea na katiba iliyopo kuliko kukubali matakwa ya CHADEMA na Jaji Warioba. Ile rasimu ya Warioba ilikuwa na mapungufu mengi mno.
 
Wewe hujaisoma badala yake unatoa maoni binafsi. Nimekuambia soma ibara ya 8 ya katiba ya JMT.
Usibwabwaje kama mwehu
kuna haja gani ya kusoma jambo ambalo sio kipaumbele cha wananchi?

wananchi wameridhika kwamba mahitaji yao ya msingi yanazingatiwa vyema kwa mujibu wa katiba hii yao na hawana haja ya mabadiliko yoyote.

Na wale matapeli binafsi katika siasa, wasaka vyeo n madaraka, waliosusia bunge la katiba kule Dodoma, na sasa hivi wamejitenga na michakato ya kidemokrasi,

wakimaanisha katiba mpya sio muhimu tena na haina haja kwa sasa 🐒
 
Mtu hawezi kuwa na mpango na vitu ambavyo havimfaidishi kwa lolote. Watu wakijua faida za katiba nzuri ndio watakuwa na muamko. It means mpaka waone kwa vitendo tofauti ya katiba mbovu na nzuri. Hio katiba yenye manufaa na raia bado haipo na ndio inapiganiwa iwepo.
umesema vizuri sana,
sasa hiyo katiba bora na nzuri inapiganiwa kwa kususia bunge la katiba au michakato ya kidemokrasi kuelekea uchaguz mkuu hususani wa Oct 2025?

hebu elezea hili kwa wadau kwa kifupi gentleman 🐒
 
Kwasababu bado dhana na hali ya kususia imetanda miongoni mwa vyama vya siasa, ikiwa ni pamoja na vyama vya siasa ambavyo vimeamua kujitenga na michakato ya kidemokrasi na kujikita kutafuta pesa za matumizi ya viongozi wa vyama hivyo hususani tunapoelekea uchaguzi mkuu wa October mwaka huu 2025.

Bilashaka yoyote hiyo inamaanisha katiba mpya sio kipaumbele cha wananchi bali pesa ndio kila kitu kwa baadhi ya vyama vya siasa, na kwahiyo hakuna haja kwa serikali kuanzisha mchakato wa gharama kubwa ambao mwisho wa siku unaishia njiani na hatimae kua hasara na mzigo kwa wananchi walipa kodi wa Tanzania.

Waliopewa dhamana ya uongozi wa taifa, ni muhimu zaidi wakajikita kutekeleza wajibu wao wa kikatiba wa kuwafanyia kazi waTanzania wote. hakuna sababu ya maana hata moja kuanzisha mchakato wa katiba mpya katika wakati wowote ujao, kwasababu baadhi ya vyama vya siasa wamejipanga kuvuruga michakato yote ya kidemokrasi ikiwa ni pamoja na uchaguzi mkuu kama walivyovuruga mchakato wa katiba wa awali kwa maslahi yao binafsi.

Kwa maoni yangu,
Serikali ijikite katika kuwatumikia waTanzania na kutimiza vipaumbele vya mahitaji yao ya kila siku kama vile maji, afya, elimu, kilimo, ufugaji, nishati, miundombinu n.k, kuliko kufuja pesa kwenye mambo ambayo si kipaumbele cha wananchi.

una maoni gani?🐒


Mungu Ibariki Tanzania
JK ndiye aliyesababisha tukose katiba mpya kwa kujaza wanasiasa wengi ( na ambao siku zote hutanguliza maslahi yao binafsi ya kisiasa) kwenye Bunge la Katiba, badala ya kujaza makundi yote muhimu katika jamii.

JK atalaaniwa milele kwa kuchezea kodi za wananchi kuendeshea mchakato wa Katiba mpya, halafu mwisho wa siku Rasimu ya Katiba mpya ya wananchi imeishia tu kuwekwa kwenye makabati.
 
Hi katiba inayomfanya raisi kuwa kama mungu mtu si rahisi kuondolewa.
 
JK ndiye aliyesababisha tukose katiba mpya kwa kujaza wanasiasa wengi ( na ambao siku zote hutanguliza maslahi yao binafsi ya kisiasa) kwenye Bunge la Katiba, badala ya kujaza makundi yote muhimu katika jamii.

JK atalaaniwa milele kwa kuchezea kodi za wananchi kuendeshea mchakato wa Katiba mpya, halafu mwisho wa siku Rasimu ya Katiba mpya ya wananchi imeishia tu kuwekwa kwenye makabati.
CHADEMA nao walaaniwe kwa kuleta vipaumbele vyao vya kishenzi hasa kile cha kutaka serikali tatu.
 
kuna haja gani ya kusoma jambo ambalo sio kipaumbele cha wananchi?

wananchi wameridhika kwamba mahitaji yao ya msingi yanazingatiwa vyema kwa mujibu wa katiba hii yao na hawana haja ya mabadiliko yoyote.

Na wale matapeli binafsi katika siasa, wasaka vyeo n madaraka, waliosusia bunge la katiba kule Dodoma, na sasa hivi wamejitenga na michakato ya kidemokrasi,

wakimaanisha katiba mpya sio muhimu tena na haina haja kwa sasa 🐒
Wewe ni mpuuzi. Unaanzisha mijadala ambayo una majibu yake? Unataka kupima nn tola kwa members humu?
Kama wananchi hawana shida ya katiba kwann mlitumia mabilion yao kwenye bunge la katiba sasa??
 
Kwasababu bado dhana na hali ya kususia imetanda miongoni mwa vyama vya siasa, ikiwa ni pamoja na vyama vya siasa ambavyo vimeamua kujitenga na michakato ya kidemokrasi na kujikita kutafuta pesa za matumizi ya viongozi wa vyama hivyo hususani tunapoelekea uchaguzi mkuu wa October mwaka huu 2025.

Bilashaka yoyote hiyo inamaanisha katiba mpya sio kipaumbele cha wananchi bali pesa ndio kila kitu kwa baadhi ya vyama vya siasa, na kwahiyo hakuna haja kwa serikali kuanzisha mchakato wa gharama kubwa ambao mwisho wa siku unaishia njiani na hatimae kua hasara na mzigo kwa wananchi walipa kodi wa Tanzania.

Waliopewa dhamana ya uongozi wa taifa, ni muhimu zaidi wakajikita kutekeleza wajibu wao wa kikatiba wa kuwafanyia kazi waTanzania wote. hakuna sababu ya maana hata moja kuanzisha mchakato wa katiba mpya katika wakati wowote ujao, kwasababu baadhi ya vyama vya siasa wamejipanga kuvuruga michakato yote ya kidemokrasi ikiwa ni pamoja na uchaguzi mkuu kama walivyovuruga mchakato wa katiba wa awali kwa maslahi yao binafsi.

Kwa maoni yangu,
Serikali ijikite katika kuwatumikia waTanzania na kutimiza vipaumbele vya mahitaji yao ya kila siku kama vile maji, afya, elimu, kilimo, ufugaji, nishati, miundombinu n.k, kuliko kufuja pesa kwenye mambo ambayo si kipaumbele cha wananchi.

una maoni gani?🐒


Mungu Ibariki Tanzania
Unaweza ukatuambia mchakato wa katiba pendekezwa uligomewa na chama gani na kwanini?
 
CHADEMA nao walaaniwe kwa kuleta vipaumbele vyao vya kishenzi hasa kile cha kutaka serikali tatu.
Kipaumbele cha serikali tatu lilikuwa siyo takwa la cha Chadema! Kipaumbele cha serikali tatu liliikuwa ni takwa la wananchi wa pande zote mbili za Muungano! Na hii ni baada ya kutoa maoni yao, na tume kuyaingiza kwenye Rasimu!

Ila nyinyi CCM ndiyo mkaja na swaga zenu za Muungano ule ule wa hovyo, wa serikali mbili! Na ambao umejaa kero za kila aina kwa pande zote mbili.
 
Marekebisho ya katiba ni muhimu ila wanasiasa wana vipaumbele vyao vya kipumbavu sana ndo maana mchakato hauwezi kufanikiwa. Katiba ikiwa nzuri hayo maendeleo kwa wananchi ni rahisi kupatikana. Kwa mfano kwa sasa kuna sheria nyingi zinazolalamikiwa hasa hizi za mambo ya kodi. Wananchi wengi wanaitupia lawama TRA na kusahau kuwa TRA ni watelekezaji tu wa sheria iliyotungwa na bunge. Wabunge wetu ni wa kulaumiwa ila nao kuwalaumu ni kupoteza muda kwa sababu wengi wao ni vilaza wenye elimu duni walioingia bungeni kwa kigezo cha kujua kusoma na kuandika. Kwa tulipofikia katiba ifanyiwe marekebisho na kuzuia vilaza kuingia bungeni.

Wanasiasa wao wanataka katiba ibadilishwe na kuongeza vyeo vya wao kupata ulaji. CHADEMA na wachumia tumbo wengine wanachotaka ni katiba iruhusu kuundwa serikali tatu na kuwepo kwa wabunge wawili kila jimbo. Yaani vipaumbele vyao ni maumivu makali mno kwa mwananchi mlipa kodi endapo watafanikiwa.

Ni bora kuendelea na katiba iliyopo kuliko kukubali matakwa ya CHADEMA na Jaji Warioba. Ile rasimu ya Warioba ilikuwa na mapungufu mengi mno.
umenena vizuri gentleman,
na bilashaka yoyote hilo la mabadiliko kadha wa kadha kwenye katiba iliyopo ni muafaka sana,

na kuanzia uchaguz huu wa October mwaka huu 2025, tena kuanzia mchakato wa ndani ya vyama hususani CCM, wasio graduates hawatazi8.

Wengineo wote watakua wasomi mahiri wa kada mbalimbali.
Na hapatakua na waziri akivurunda eti ahamishwe wizara, hapana, atapigwa chini na atateuliwa mwingine.
Hivi sasa mamlaka za uteuzi zinawahamisha wizara mawaziri kwasabb hawapo mbadala wao kwa kuzingatia factor ya elimu.

Ni muhimu hivi sasa kwa serikali kujikita zaidi kubadili na kuboresha sehemu muhimu zaidi za katiba iliyopo kuliko kuanzisha mchakato wa gharama ambao ni wazi utasusiwa na vibaka na matapeli wa kisiasa wakijidai ni wananchi 🐒
 
Kwasababu bado dhana na hali ya kususia imetanda miongoni mwa vyama vya siasa, ikiwa ni pamoja na vyama vya siasa ambavyo vimeamua kujitenga na michakato ya kidemokrasi na kujikita kutafuta pesa za matumizi ya viongozi wa vyama hivyo hususani tunapoelekea uchaguzi mkuu wa October mwaka huu 2025.

Bilashaka yoyote hiyo inamaanisha katiba mpya sio kipaumbele cha wananchi bali pesa ndio kila kitu kwa baadhi ya vyama vya siasa, na kwahiyo hakuna haja kwa serikali kuanzisha mchakato wa gharama kubwa ambao mwisho wa siku unaishia njiani na hatimae kua hasara na mzigo kwa wananchi walipa kodi wa Tanzania.

Waliopewa dhamana ya uongozi wa taifa, ni muhimu zaidi wakajikita kutekeleza wajibu wao wa kikatiba wa kuwafanyia kazi waTanzania wote. hakuna sababu ya maana hata moja kuanzisha mchakato wa katiba mpya katika wakati wowote ujao, kwasababu baadhi ya vyama vya siasa wamejipanga kuvuruga michakato yote ya kidemokrasi ikiwa ni pamoja na uchaguzi mkuu kama walivyovuruga mchakato wa katiba wa awali kwa maslahi yao binafsi.

Kwa maoni yangu,
Serikali ijikite katika kuwatumikia waTanzania na kutimiza vipaumbele vya mahitaji yao ya kila siku kama vile maji, afya, elimu, kilimo, ufugaji, nishati, miundombinu n.k, kuliko kufuja pesa kwenye mambo ambayo si kipaumbele cha wananchi.

una maoni gani?🐒


Mungu Ibariki Tanzania
Ni wataje au unaacha kutujia na maneno jumla jumla viongozi wa kisiasa na kuna hajagani ya kuitaka tena.
 
Back
Top Bottom