Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,634
- 697,845
Ni wachache mno wanaojua kuwa hii nchi ama hili Taifa letu la Tanzania hapo mwanzo lilikuwa linaitwa Tanganyika mpaka hapo mwaka1964 Tanganyika ilipoungana na Zanzibar na kuunda Taifa ama nchi ya Tanzania.
Watanganyika wakawa wepesi kulisahu jina lao la asili la Tanganyika lakini kwa wazanzibar ikawa ngumu...Hayati mwalimu Julius Kambarage Nyerere alijitahidi sana kwenye hilo na sisi tulikuwa tukiita Zanzibar Tanzania visiwani
Viongozi waliofuatia hili hawakulipa uzito na taratibu Zanzibar ikaanza michakato ya kuwa taifa kamili.,..kwa wasiofahamu ili mahali pajulikane kama taifa ama nchi kamili inahitaji mambo kumi makuu.
1. Mipaka
2. Uongozi kamili
3. Wimbo wa taifa
4. Bendera ya nchi
5. Chombo cha uwakilishi wa wananchi(bunge)
7. Chama cha siasa
8. Jeshi
9. Sarafu
10. Mgawanyiko wa kiutawala.
Kwasasa ili Zanzibar iwe dola kamili inahitaji kipengele kimoja tu SARAFU. Wenzetu walituzidi akili pamoja na udogo wao..kamwe hawakukubali jina jipya la Tanzania lifunike la zamani la Zanzibar lililotoholewa toka neno Zenjiber, .kwahiyo basi ikitokea kukawa na matokeo tofauti ya ushindi wa vyama kwenye uchaguzi mkuu na muungano ukavunjika ama kuunda setikali tatu kwa upande wa Jina Zanzibar hawataathirika na chochote.
Tatizo kubwa ambalo ni vigumu mno kulimeza ni kama sisi wa bara tutakubali na kuweza kulibadili jina letu pendwa la Tanzania kuwa Tanganyika!
Watanganyika wakawa wepesi kulisahu jina lao la asili la Tanganyika lakini kwa wazanzibar ikawa ngumu...Hayati mwalimu Julius Kambarage Nyerere alijitahidi sana kwenye hilo na sisi tulikuwa tukiita Zanzibar Tanzania visiwani
Viongozi waliofuatia hili hawakulipa uzito na taratibu Zanzibar ikaanza michakato ya kuwa taifa kamili.,..kwa wasiofahamu ili mahali pajulikane kama taifa ama nchi kamili inahitaji mambo kumi makuu.
1. Mipaka
2. Uongozi kamili
3. Wimbo wa taifa
4. Bendera ya nchi
5. Chombo cha uwakilishi wa wananchi(bunge)
7. Chama cha siasa
8. Jeshi
9. Sarafu
10. Mgawanyiko wa kiutawala.
Kwasasa ili Zanzibar iwe dola kamili inahitaji kipengele kimoja tu SARAFU. Wenzetu walituzidi akili pamoja na udogo wao..kamwe hawakukubali jina jipya la Tanzania lifunike la zamani la Zanzibar lililotoholewa toka neno Zenjiber, .kwahiyo basi ikitokea kukawa na matokeo tofauti ya ushindi wa vyama kwenye uchaguzi mkuu na muungano ukavunjika ama kuunda setikali tatu kwa upande wa Jina Zanzibar hawataathirika na chochote.
Tatizo kubwa ambalo ni vigumu mno kulimeza ni kama sisi wa bara tutakubali na kuweza kulibadili jina letu pendwa la Tanzania kuwa Tanganyika!