Ikitokea umebaki peke yako Duniani

Ikitokea umebaki peke yako Duniani

ulaya12

JF-Expert Member
Joined
Nov 16, 2017
Posts
834
Reaction score
908
Nimewaza hili jambo kuwa kama ikitokea umebaki peke yako Duniani utafanyaje,yaani unaamka asubuhi mkeo na watoto huwaoni,majirani huwaoni unakuta milango yote iko wazi,unachanganyikiwa unaamua kwenda mitaani nako pia unakuta Maduka yako wazi ila hakuna hata mtu 1,unajaribu kuwapigia Simu ndugu na jamaa lakini simu haiendi ,unawasha TV labda unaweza kupata taarifs yoyote kuhusu kilichojiri lakini haiwaki,unaamua kwenda Polisi ukatoe taarifa nako unakuta milango iko wazi hakuna hata mtu 1,unazidi kuchanganyikiwa ila bado unajipa matumaini kuwa unaweza ukakutana na watu au mtu wa kuweza kujadiliana kuhusu hii hali iliyotokea ndipo unapata wazo uende Benk kuu ukijipa matumaini kwamba pale piga ua masaa 24 Askari hawakosekani pale lakini unafika unakuta milango iko wazi ila hakuna Askari yeyote walala hakuna dalili ya kuwepo mtu,hatua ya mwisho unaamua kwenda Kwenye Nyumba nyeupe pale Magogoni ukiwaza kuwa wale wazee wa kazi huwa hawakosekani piga iwe jua iwe mvua lakini unafika unakuta Geti liko wazi na pako kimya humuoni mtu yoyote.hatimaye umechoka huna lakufanya unajipa matumaini uende Ubungo pale utakuta wasafiri,lakini unafika unayakuta Mabasi yamepaki ila humuoni hata mtu1na unakata tamaa kuwa umebakia peke yako sasa hadi hapo sijui utafanyaje.
 
Nimewaza hili jambo kuwa kama ikitokea umebaki peke yako Duniani utafanyaje,yaani unaamka asubuhi mkeo na watoto huwaoni,majirani huwaoni unakuta milango yote iko wazi,unachanganyikiwa unaamua kwenda mitaani nako pia unakuta Maduka yako wazi ila hakuna hata mtu 1,unajaribu kuwapigia Simu ndugu na jamaa lakini simu haiendi ,unawasha TV labda unaweza kupata taarifs yoyote kuhusu kilichojiri lakini haiwaki,unaamua kwenda Polisi ukatoe taarifa nako unakuta milango iko wazi hakuna hata mtu 1,unazidi kuchanganyikiwa ila bado unajipa matumaini kuwa unaweza ukakutana na watu au mtu wa kuweza kujadiliana kuhusu hii hali iliyotokea ndipo unapata wazo uende Benk kuu ukijipa matumaini kwamba pale piga ua masaa 24 Askari hawakosekani pale lakini unafika unakuta milango iko wazi ila hakuna Askari yeyote walala hakuna dalili ya kuwepo mtu,hatua ya mwisho unaamua kwenda Kwenye Nyumba nyeupe pale Magogoni ukiwaza kuwa wale wazee wa kazi huwa hawakosekani piga iwe jua iwe mvua lakini unafika unakuta Geti liko wazi na pako kimya humuoni mtu yoyote.hatimaye umechoka huna lakufanya unajipa matumaini uende Ubungo pale utakuta wasafiri,lakini unafika unayakuta Mabasi yamepaki ila humuoni hata mtu1na unakata tamaa kuwa umebakia peke yako sasa hadi hapo sijui utafanyaje.
Ndo Hapo utaona Umuhimu wa Kuwa Binadamu Karibu. Hapa Tunajifunza Kupendana na Twapaswa kuona Umuhimu wa Kila Mtu hata awe Mbaya Kiasi gani.
 
Hapo hapo unaamka,unavaa na unamshukuru Mungu kwa kukulinda siku hiyo maana ndoto yako itakua imeisha. Baadae unaenda kunawa uso
 
Nakufa tu na mimi sasa ntakaaje peke yangu...... ukimya unatisha ndugu asikwambie mtu...

Nyumba kubwa tu ukiwa mwenyewe mapicha picha... sasa ndo dunia nzima uwe mwenyewe si unadata fasta tu hata siku haipiti
 
Good idea...but nilivyo muelewa mleta Uzi, anamaanisha what/how if unajikuta wewe ndie living thing (Kiumbe hai) katika Ulimwengu huu....!!

Au utafanya nini ikiwa utajikuta peke yako katika Sayari ya Mwezi..!
Ntaanza kuishi na wanyama,ntampa mimba sokwe watoto watazaliwa wa kufanana na binadamu maisha yataendelea
 
hapo mm kila mlango uliowazi nitaingia ...

magogoni ..

benk kuu

kanisan


polisi

nmb

crdb

mpka kooote kwa wanaojiona dunia hii wataishi milele
 
Nimewaza hili jambo kuwa kama ikitokea umebaki peke yako Duniani utafanyaje,yaani unaamka asubuhi mkeo na watoto huwaoni,majirani huwaoni unakuta milango yote iko wazi,unachanganyikiwa unaamua kwenda mitaani nako pia unakuta Maduka yako wazi ila hakuna hata mtu 1,unajaribu kuwapigia Simu ndugu na jamaa lakini simu haiendi ,unawasha TV labda unaweza kupata taarifs yoyote kuhusu kilichojiri lakini haiwaki,unaamua kwenda Polisi ukatoe taarifa nako unakuta milango iko wazi hakuna hata mtu 1,unazidi kuchanganyikiwa ila bado unajipa matumaini kuwa unaweza ukakutana na watu au mtu wa kuweza kujadiliana kuhusu hii hali iliyotokea ndipo unapata wazo uende Benk kuu ukijipa matumaini kwamba pale piga ua masaa 24 Askari hawakosekani pale lakini unafika unakuta milango iko wazi ila hakuna Askari yeyote walala hakuna dalili ya kuwepo mtu,hatua ya mwisho unaamua kwenda Kwenye Nyumba nyeupe pale Magogoni ukiwaza kuwa wale wazee wa kazi huwa hawakosekani piga iwe jua iwe mvua lakini unafika unakuta Geti liko wazi na pako kimya humuoni mtu yoyote.hatimaye umechoka huna lakufanya unajipa matumaini uende Ubungo pale utakuta wasafiri,lakini unafika unayakuta Mabasi yamepaki ila humuoni hata mtu1na unakata tamaa kuwa umebakia peke yako sasa hadi hapo sijui utafanyaje.

punyeto na kila kilichopo changu
 
Mzee ww subir moto tu ukushukie maana wenzako watakua washanyakuliwa kwenda mbinguni.Ww ndo utakua umebaki kwa ajil ya kichapo cha siku ya mwisho ya kiama
 
Back
Top Bottom