wankuru nyankuru
JF-Expert Member
- Feb 11, 2019
- 491
- 763
Kumekuwepo na maneno ya hapa na pale kutoka Kwa wananchi wakijiuliza maswali mengi kuhusu mkataba wa DP world kwamba baada ya rais kustafu je nae ataandika kitabu Cha historia yake na kujutia kusaini mkataba huo? Licha ya tahadhari zote kutolewa juu ya mkataba unaodhaniwa kuwa ni mbovu ukilinganishwa na ule wa chief mangungo wa msovero??.