mwehu ndama
JF-Expert Member
- Nov 12, 2019
- 2,099
- 7,865
Jonathan ikangalombo sio mchezaji wa soka Bali ni tapeli uliyeamua kujipatia kipato kupitia mchezo wa soka.Hivyo natoa wito kwa Eng.Hersi kumkamata huyu tapeli nakumfukuza mara moja..!!
Daima mbele , nyuma mwiko
Daima mbele , nyuma mwiko