Bin Faza
JF-Expert Member
- Jun 12, 2013
- 502
- 191
Raha ya historia ni kuwa inajieleza yenyewe
Hii ni shahada ya skuli katika mwaka 1914, Zanzibar
Hawa ni katika baadhi ya walioshinda katika uchaguli wa 1963, zanzibar
Hii hapa ni serikali huru ya zanzibar iliyotawala 1963 na kupinduliwa 1964, hebu tizama vyema wapo waarabu wangapi hapo????
Haya ndio mapinduzi yenyewe 1964
hawa ndio walioipinduwa serikali halali ya watu wa wanzibar 1964
Hawa ndio waliopinduwa serekali halali ya watu wa zanzibar 1964 ~2
Hawa ndio waliopinduwa serekali halali ya watu wa zanzibar 1964 ~3
Hawa ndio waliopinduliwa ~ 1
Hawa ndio waliopinduliwa ~2
Na baadhi yao wakazikwa hivi
Na hawa wakajaribu kukimbia ili wasiuliwe na wana mapinduzi
Lakini safari yao ilikuwa fupi sana na wengine wakaishia hapa
Wengine wakazikwa wakiwa hai katika makaburi ya halaiki, mashamba zanzibar. Ipo siku tutayatafuta na kuyafukuwa makaburi yote ya halaiki
Matekeo yakawa haya
Na anaejaribu kukataa, vijana hawa huletwa mitaani
Hii ni shahada ya skuli katika mwaka 1914, Zanzibar
Hawa ni katika baadhi ya walioshinda katika uchaguli wa 1963, zanzibar
Hii hapa ni serikali huru ya zanzibar iliyotawala 1963 na kupinduliwa 1964, hebu tizama vyema wapo waarabu wangapi hapo????
Haya ndio mapinduzi yenyewe 1964
hawa ndio walioipinduwa serikali halali ya watu wa wanzibar 1964
Hawa ndio waliopinduwa serekali halali ya watu wa zanzibar 1964 ~2
Hawa ndio waliopinduwa serekali halali ya watu wa zanzibar 1964 ~3
Hawa ndio waliopinduliwa ~ 1
Hawa ndio waliopinduliwa ~2
Na baadhi yao wakazikwa hivi
Na hawa wakajaribu kukimbia ili wasiuliwe na wana mapinduzi
Lakini safari yao ilikuwa fupi sana na wengine wakaishia hapa
Wengine wakazikwa wakiwa hai katika makaburi ya halaiki, mashamba zanzibar. Ipo siku tutayatafuta na kuyafukuwa makaburi yote ya halaiki
Matekeo yakawa haya
Na anaejaribu kukataa, vijana hawa huletwa mitaani