Ijumaa Kuu

Amavubi

JF-Expert Member
Dec 9, 2010
30,156
13,258
images (1).jpg
9596_1715300475354572_4114997787227004279_n.jpg
 
Mhmhmh! Nimewaza Sana jinsi alivyovaa. Hivi kofuli aka chupi,nayo kavaa ya mbogamboga?
 
Yes Leo ndio ijumaa kuu jamaa atakapochukua vitasa vya nguvu kutoka kwa mayahudi mpaka kuzima
 
Jamani kwa nini haturuhusiwi kula nyama leo?
Mbona misibani wanakula nyama sana? Naomba msaada/ kueleweshwa vema.
 
Ivi jogoo kashawika tayari?
Leo Mungu anakula kibano toka kwa taifa teule ole wako uwalaani utalaaniwa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom