Ijumaa Kareem.

Ijumaa Kareem.

Globu

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2011
Posts
9,312
Reaction score
2,876
A,alaykum Warahmatullah Wabarakatu. Ritz. MziziMkavu. AshaDii. Na members wote wa JF. M/MUNGU atujaalie kheri, neema na baraka tele. Atuondoshee maradhi na atujaalie afya njema. JUMAA MUBARAQ.
 
Last edited by a moderator:
BWANA YESU ASIFIWEE! Leo ni siku ya maandalio ya Sabato takatifu ambapo sabato ni kesho ,Hakika mtu hatauona ufalme wa mbinguni bila kupita kwa Yesu Kristo,Enendeni mkawahubiri mataifa mkiwabatiza kwa jina la Baba,Mwana na Roho Mtakatifu Amen!
 
Globu nashukuru. Kuwa na weekend njema wewe na wapendwa wako. Pamoja Saana.
 
Last edited by a moderator:
BWANA YESU ASIFIWEE! Leo ni siku ya maandalio ya Sabato takatifu ambapo sabato ni kesho ,Hakika mtu hatauona ufalme wa mbinguni bila kupita kwa Yesu Kristo,Enendeni mkawahubiri mataifa mkiwabatiza kwa jina la Baba,Mwana na Roho Mtakatifu Amen!

Dunia hii khaah
 
Back
Top Bottom