Ijumaa kareem

Globu

JF-Expert Member
Jan 12, 2011
8,570
2,068
A,alaykum. Nawatakia ijumaa njema. Wanajamvi wenzangu wote na Watanzania kwa ujumla. M/MUNGU Atujaalie kila la kheri na mafanikio katika maisha yetu ya duniani na Akhera. Atuondoshee balaa, nuksi na kila baya. AMEEN.
 
A,alaykum. Nawatakia ijumaa njema. Wanajamvi wenzangu wote na Watanzania kwa ujumla. M/MUNGU Atujaalie kila la kheri na mafanikio katika maisha yetu ya duniani na Akhera. Atuondoshee balaa, nuksi na kila baya. AMEEN.
Ustaadh, tafadhari sana unapokuwa msikitini uwe unawakumbusha waislam wenzako umuhimu wa shule ili wakapate maarifa ya kukabiliana na changamoto za hapa duniani
 
Ustaadh, tafadhari sana unapokuwa msikitini uwe unawakumbusha waislam wenzako umuhimu wa shule ili wakapate maarifa ya kukabiliana na changamoto za hapa duniani
huu ni upumbavu mtu unaacha kazi unawatakia karim watu....hatutaendelea tukiwa na mawazo haya
 
Ustaadh, tafadhari sana unapokuwa msikitini uwe unawakumbusha waislam wenzako umuhimu wa shule ili wakapate maarifa ya kukabiliana na changamoto za hapa duniani
Changamoto unayo wewe na wenzangu, pamoja na elimu uliyonayo bado hujatambua tofauti ya ''mtu'' na Mwenyezi Mungu !
 
huu ni upumbavu mtu unaacha kazi unawatakia karim watu....hatutaendelea tukiwa na mawazo haya
Mkuu,
Love for All, hatred for none.
Moja ya silsila za waislamu ni kutakiana kheir kwa ajili ya ibada takatifu ya Jumaa, siku hii huwa ni muhimu sana kwa waislamu ndio maana tunatakiana kheri. Ingalikuwa Tanganyika hii ni above 80% waislamu...Ijumaa ingewekwa kuwa ni siku ya mapumziko kwa utekelezaji wa ibada hii takatifu. Lugha & ukali wa maneno yako...hayapendezi katika jumuiya za kistaarabu na zinazovumiliana.
Ukitazama wewe mwenyewe umetuma thread-post yako @ 1340hrs ikiwa ni ndani ya masaa ya kazi katika kulitumikia taifa letu hili, JE HUKUTAZAMA KUWA NAWE UMEIBA MUDA MAHSUSI ULIOUPOTEZA HAPA JF NA KUACHA KULITUMIKIA TAIFA KTK KULILETEA MAENDELEO?
 
Mkuu,
Love for All, hatred for none.
Moja ya silsila za waislamu ni kutakiana kheir kwa ajili ya ibada takatifu ya Jumaa, siku hii huwa ni muhimu sana kwa waislamu ndio maana tunatakiana kheri. Ingalikuwa Tanganyika hii ni above 80% waislamu...Ijumaa ingewekwa kuwa ni siku ya mapumziko kwa utekelezaji wa ibada hii takatifu. Lugha & ukali wa maneno yako...hayapendezi katika jumuiya za kistaarabu na zinazovumiliana.
Ukitazama wewe mwenyewe umetuma thread-post yako @ 1340hrs ikiwa ni ndani ya masaa ya kazi katika kulitumikia taifa letu hili, JE HUKUTAZAMA KUWA NAWE UMEIBA MUDA MAHSUSI ULIOUPOTEZA HAPA JF NA KUACHA KULITUMIKIA TAIFA KTK KULILETEA MAENDELEO?
point.
 
Mkuu,
Love for All, hatred for none.
Moja ya silsila za waislamu ni kutakiana kheir kwa ajili ya ibada takatifu ya Jumaa, siku hii huwa ni muhimu sana kwa waislamu ndio maana tunatakiana kheri. Ingalikuwa Tanganyika hii ni above 80% waislamu...Ijumaa ingewekwa kuwa ni siku ya mapumziko kwa utekelezaji wa ibada hii takatifu. Lugha & ukali wa maneno yako...hayapendezi katika jumuiya za kistaarabu na zinazovumiliana.
Ukitazama wewe mwenyewe umetuma thread-post yako @ 1340hrs ikiwa ni ndani ya masaa ya kazi katika kulitumikia taifa letu hili, JE HUKUTAZAMA KUWA NAWE UMEIBA MUDA MAHSUSI ULIOUPOTEZA HAPA JF NA KUACHA KULITUMIKIA TAIFA KTK KULILETEA MAENDELEO?

kuna watu humu mkuu huwa wanakurupuka tu na kuona wafanyacho wengine ni cha kishenzi ila afanyacho yeye ndicho bora
huwa nashindwa kuwaelewa watu wa namna hii,kwanini ujione kuwa wewe ni zaidi kuliko mwingine? post yake kaituma wakati wa kazi lakini bado anawatukana wale waliotuma post wakati wa kazi hahahaha du JF inavichwa vya kila aina
 
Back
Top Bottom