Ustaadh, tafadhari sana unapokuwa msikitini uwe unawakumbusha waislam wenzako umuhimu wa shule ili wakapate maarifa ya kukabiliana na changamoto za hapa dunianiA,alaykum. Nawatakia ijumaa njema. Wanajamvi wenzangu wote na Watanzania kwa ujumla. M/MUNGU Atujaalie kila la kheri na mafanikio katika maisha yetu ya duniani na Akhera. Atuondoshee balaa, nuksi na kila baya. AMEEN.
huu ni upumbavu mtu unaacha kazi unawatakia karim watu....hatutaendelea tukiwa na mawazo hayaUstaadh, tafadhari sana unapokuwa msikitini uwe unawakumbusha waislam wenzako umuhimu wa shule ili wakapate maarifa ya kukabiliana na changamoto za hapa duniani
Changamoto unayo wewe na wenzangu, pamoja na elimu uliyonayo bado hujatambua tofauti ya ''mtu'' na Mwenyezi Mungu !Ustaadh, tafadhari sana unapokuwa msikitini uwe unawakumbusha waislam wenzako umuhimu wa shule ili wakapate maarifa ya kukabiliana na changamoto za hapa duniani
Mkuu,huu ni upumbavu mtu unaacha kazi unawatakia karim watu....hatutaendelea tukiwa na mawazo haya
point.Mkuu,
Love for All, hatred for none.
Moja ya silsila za waislamu ni kutakiana kheir kwa ajili ya ibada takatifu ya Jumaa, siku hii huwa ni muhimu sana kwa waislamu ndio maana tunatakiana kheri. Ingalikuwa Tanganyika hii ni above 80% waislamu...Ijumaa ingewekwa kuwa ni siku ya mapumziko kwa utekelezaji wa ibada hii takatifu. Lugha & ukali wa maneno yako...hayapendezi katika jumuiya za kistaarabu na zinazovumiliana.
Ukitazama wewe mwenyewe umetuma thread-post yako @ 1340hrs ikiwa ni ndani ya masaa ya kazi katika kulitumikia taifa letu hili, JE HUKUTAZAMA KUWA NAWE UMEIBA MUDA MAHSUSI ULIOUPOTEZA HAPA JF NA KUACHA KULITUMIKIA TAIFA KTK KULILETEA MAENDELEO?
Mkuu,
Love for All, hatred for none.
Moja ya silsila za waislamu ni kutakiana kheir kwa ajili ya ibada takatifu ya Jumaa, siku hii huwa ni muhimu sana kwa waislamu ndio maana tunatakiana kheri. Ingalikuwa Tanganyika hii ni above 80% waislamu...Ijumaa ingewekwa kuwa ni siku ya mapumziko kwa utekelezaji wa ibada hii takatifu. Lugha & ukali wa maneno yako...hayapendezi katika jumuiya za kistaarabu na zinazovumiliana.
Ukitazama wewe mwenyewe umetuma thread-post yako @ 1340hrs ikiwa ni ndani ya masaa ya kazi katika kulitumikia taifa letu hili, JE HUKUTAZAMA KUWA NAWE UMEIBA MUDA MAHSUSI ULIOUPOTEZA HAPA JF NA KUACHA KULITUMIKIA TAIFA KTK KULILETEA MAENDELEO?