<br />Ijumaa njema kwa wote waliofunga na wale ambao hawakufunga kutokana na matatizo mbalimbali. Allah aturehemu sote na atuepushe na mashetani na adhabu ya moto.Aaamin.
<br /><br />Assalam alaykum Warahmatullah Wabarakatu. Rehma na amani ziwashukie wana JF wote pamoja na Watanzania kwa jumla.
waleykum salaam wallahmatullah wabalakat, Rehma na Aman ziwe juu yetu waislam wote, na shukuran zote anastahili Allah S.A. na Mjumbe wake Mtume Mohammad S.A.W. Amiin
Yes...ubaguzi hii !hiyo red mbona ubaguzi??