Aya ya Qur'an iliyokuja kuamrisha ijumaa,ni siku ya kuswali kwa wiki katika uislamu,imesema ikifika mda wa swala ndio waumini wanakwenda kusali,wakimaliza watawanyike wakaendelee na kazi.Hakuna uvivu katika uislamu.
Aya ya Qur'an iliyokuja kuamrisha ijumaa,ni siku ya kuswali kwa wiki katika uislamu,imesema ikifika mda wa swala ndio waumini wanakwenda kusali,wakimaliza watawanyike wakaendelee na kazi.Hakuna uvivu katika uislamu.
Siku ya ijumaa inafaa kuwa ya Mapumziko ili watukufu waislam wakafanye ibada kama ilivyo nchi nyingi duniani ikiwemo GCC - Kuwait, UAE, Qatar, Saudi Arabia na Bahrain. Asante
Siku ya ijumaa inafaa kuwa ya Mapumziko ili watukufu waislam wakafanye ibada kama ilivyo nchi nyingi duniani ikiwemo GCC - Kuwait, UAE, Qatar, Saudi Arabia na Bahrain. Asante
Siku ya ijumaa inafaa kuwa ya Mapumziko ili watukufu waislam wakafanye ibada kama ilivyo nchi nyingi duniani ikiwemo GCC - Kuwait, UAE, Qatar, Saudi Arabia na Bahrain. Asante