Ijue Tecno w4

Ijue Tecno w4

kwa week 1 then nkamuachia mchuchu aliipenda so yeye ndio anaendelea kuitumia, there's no any reported issue mpaka sasa week ya 3 hii inaelekea kuisha!
Hahaha wachuchu hawana matumizi makubwa. Mwambie aeke gem alafu ataona jamba jamba yake ama aweke app kama screen recorder
 
d84c5ba24baebbccbfb2d4ad76936b82.jpg

Hii hapa toka google
Mbona anatuambia haina 4g....?
 
W4 ya nini wakati c8 inakubali Marshmallow 6.0? Computer literacy matters a lot!
 
Hizo simu zipo kibiashara zaidi, mfano c8 kiumbo na kamera kidogo imeboreshwa lakini tatizo lake ram ndogo na inataka network full ukiwa mbali kidogo na mnara haivumilii hata kidogo. Na J8 nayo iko vizuri kwenye RAM na mziki lakini ukiiangalia kwa undani hii cm touch yake sio bora km ya c8, alafu screen yake haijatulia sana ktk ubora pamoja na kupromotiwa sana. L8 imeboreshwa betri na housing yake ila shida za RAM inayo pia. W4 haina umbile zuri, na betri, camera, ram ndo haikuboreshwa ila kwa maswala ya network speed imeboreshwa sana. Nadhani kiu kubwa ya wateja ni kupata cm yenye Ram angalau GB 3, android 6.0, ukubwa screen 5.5, ROM GB 36. Betri 5000mah, nk nk. Na bei iwe nafuu
 
Hizo simu zipo kibiashara zaidi, mfano c8 kiumbo na kamera kidogo imeboreshwa lakini tatizo lake ram ndogo na inataka network full ukiwa mbali kidogo na mnara haivumilii hata kidogo. Na J8 nayo iko vizuri kwenye RAM na mziki lakini ukiiangalia kwa undani hii cm touch yake sio bora km ya c8, alafu screen yake haijatulia sana ktk ubora pamoja na kupromotiwa sana. L8 imeboreshwa betri na housing yake ila shida za RAM inayo pia. W4 haina umbile zuri, na betri, camera, ram ndo haikuboreshwa ila kwa maswala ya network speed imeboreshwa sana. Nadhani kiu kubwa ya wateja ni kupata cm yenye Ram angalau GB 3, android 6.0, ukubwa screen 5.5, ROM GB 36. Betri 5000mah, nk nk. Na bei iwe nafuu
Note 3.
 
Hizo tecno zenu hata sina mpango nazo nazisikiaga tu..... Natumia WIKO PHONE HIGH WAY PURE 4G
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom