Ijue Tecno w4

Eric Mkomoya

Member
Oct 10, 2014
55
56
tecno-w4.jpg

Hii ndo simu ya kwanza kutoka kampuni ya Tecno kua inatumia Android 6.0 yaani maarufu kama MARSHMALLOW,baada ya kutoka w4 imedhaniwa kua Tecno wamemaliza mfululiza wa Y series ambapo simu ya mwisho ni Y6 na kuanza W4 ambayo ni ya kwanza katika kizazi cha fululizo wa W.

W4 ndo iliyoingia sokon mara ya kwanza kwa kamouni ya Tecno ikiwa na mfumo wa android unaopendwa kwa sasa wa marshamallow pamoja na mfumo wa Hios na ikiwa na bei ya kawaida kwa watumiaji wake.

Ukiachana na suala la kua na adroid mpya 6.0 W4 pia imekuja na umbo zuri lilobuniwa vizuri ikiwa na wide angle camera.

Kwa upande wa kioo W4 ina kioo cha inchi 5 HD KIKIWA NA 1.3 GHz Quad-Core MediaTek prosesa lakini pia inamiliki ram ya GB 1 na uwezo wake wa kuhifadhi vitu wa ndani ni 16 GB kwa upande wa kamera ya nyuma ni 8 mp na mbele kua na 2 mp.

Betri la simu hii ni 2500mAh ambayo inadhaniwa kuweza kufika masaa 48 kama ilichajiwa ikijaa na kwa matumizi wakati ikiwa imenyimwa uwezo wa kua na intaneti ya kasi ya 4G w4 inamiliki uwezo 3G pekee.

W4 ina rangi tofauti tofauti kutokana mapenzi ya mtumiaji wa simu hii, ipo ya rangi ya dhahabu,nyeusi na pia nyeupe

List ya vinavyopatikan kwa w4 hii hapa

Ø Inchi 5.0 HD
Ø Laini mbili
Ø Mfumo ni android 6.0
Ø Ina camera ya awide angle pamoja kukufanya uwe mzuri katika picha
Ø 3G ndo mfumo wa mawasiliano wa intaneti unaopatina
Ø Betri yake 2500 mAh
Ø Uwezo wa kuhifadhi vitu wa ndani ni 16 GB

TUKUTANE TENA KUJUA SIMU JANJA ZINGINE TOKA MAKAMPUNI MAARUFU YANAYOLETA BIDHAA HAPA NCHINI......
 
View attachment 351132

Hii ndo simu ya kwanza kutoka kampuni ya Tecno kua inatumia Android 6.0 yaani maarufu kama MARSHMALLOW,baada ya kutoka w4 imedhaniwa kua Tecno wamemaliza mfululiza wa Y series ambapo simu ya mwisho ni Y6 na kuanza W4 ambayo ni ya kwanza katika kizazi cha fululizo wa W.

W4 ndo iliyoingia sokon mara ya kwanza kwa kamouni ya Tecno ikiwa na mfumo wa android unaopendwa kwa sasa wa marshamallow pamoja na mfumo wa Hios na ikiwa na bei ya kawaida kwa watumiaji wake.

Ukiachana na suala la kua na adroid mpya 6.0 W4 pia imekuja na umbo zuri lilobuniwa vizuri ikiwa na wide angle camera.

Kwa upande wa kioo W4 ina kioo cha inchi 5 HD KIKIWA NA 1.3 GHz Quad-Core MediaTek prosesa lakini pia inamiliki ram ya GB 1 na uwezo wake wa kuhifadhi vitu wa ndani ni 16 GB kwa upande wa kamera ya mbele ni 8 mp na mbele kua na 2 mp.

Betri la simu hii ni 2500mAh ambayo inadhaniwa kuweza kufika masaa 48 kama ilichajiwa ikijaa na kwa matumizi wakati ikiwa imenyimwa uwezo wa kua na intaneti ya kasi ya 4G w4 inamiliki uwezo 3G pekee.

W4 ina rangi tofauti tofauti kutokana mapenzi ya mtumiaji wa simu hii, ipo ya rangi ya dhahabu,nyeusi na pia nyeupe

List ya vinavyopatikan kwa w4 hii hapa

Ø Inchi 5.0 HD
Ø Laini mbili
Ø Mfumo ni android 6.0
Ø Ina camera ya awide angle pamoja kukufanya uwe mzuri katika picha
Ø 3G ndo mfumo wa mawasiliano wa intaneti unaopatina
Ø Betri yake 2500 mAh
Ø Uwezo wa kuhifadhi vitu wa ndani ni 16 GB

TUKUTANE TENA KUJUA SIMU JANJA ZINGINE TOKA MAKAMPUNI MAARUFU YANAYOLETA BIDHAA HAPA NCHINI......
Mkuu labda sjakuelewa mbona mimi natumia c8 na ninakula io Hios na marshmallow na pia boom j8 inakula marshmallow. Tena from company. Kwa nini useme hio ndo ya kwanza?
 
Ni 180,000

Sasa siuseme na bei ili tuijue vizuri

taja bei sasa kijana mana ndo kitu cha muhimu kuliko vyote ulivoandka hapo, sh ngap

Hiyo tecno inauzwa milioni ngapi?

Mi nauliza mbona tecno hawana mifumo mizuri ya kuapdate android Os. . Nimeona kuapdate c8 kazi kweli wakati wenzao unaupdate online kama application kuna tatizo gani hapo

Nakumbuka nliwahi kupost thread kusifia katecno kangu c8 maana kalinipumbaza kalivokua kapya.
Kalinipemdeza kweli. Nikasema kweli its a revolution. Ila sasa wiki mbili zilivokata nlivojaza app kadhaa, unapiga screenshot zinajipiga kama kumi na zote unakuta zimecorrupt.
Inaponiletea miujiza ni pale unatiririka kuandika text ndefu kama hii alafu unafika katikati keyboard inavanish. Mpaka ukae uisubiri ikitoka chooni ndo ije...
Sasa io W4 sindo itakua ugonjwa kabisa?
 
Mtoa mada umetoa maelezo mengi sana ya uongo nakushauri uifuatilie hii simu then u edit thread yako ili kulinda pia heshima yako kwenye jukwaa hili.

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Vipi kuhusu io w4 kua ya kwanza kurun android 6
kusema ya kwanza ku run android 6.0 sidhani kama ni sahihi sana maana hata c8 imeshatengenezewa update ya marshmallow.
Labda mtoa mada alikosea tu ila alidhamiria kusema kwamba ni tecno ya kwanza kuja na pre-loaded rom ya android 6.0 Marshmallow nao utakuwa ni ukweli ulio dhahiri.
 
Back
Top Bottom