kiben10
JF-Expert Member
- Apr 28, 2018
- 616
- 789
KWA TAARIFA YAKO: Ndege nyingi za abiria hazina siti namba 13. Baada ya 12 ama hufuata 14 au 12B.
Hii kwa sisi wakwea Pipa Line hizi tunajua maana yake kwa nini number 13 haiko kwa Siti.
Haya sasa kwa ambao tunafanya safari za ndege za South to Dar after 1week, tuambiane SIRI hiyo hapa tuwajuze wanaosubiria kupandishwa ndege na mabosi zao.
Hii kwa sisi wakwea Pipa Line hizi tunajua maana yake kwa nini number 13 haiko kwa Siti.
Haya sasa kwa ambao tunafanya safari za ndege za South to Dar after 1week, tuambiane SIRI hiyo hapa tuwajuze wanaosubiria kupandishwa ndege na mabosi zao.