Jembemtaji
JF-Expert Member
- Aug 21, 2014
- 1,192
- 928
Walienda wenyewe wakiwa wamevaa mafriji
Soma Yoshua 10:12Umenikubusha kitu. Jua hua linazama kwenye tope ikifika jioni na kudamka asubuhi sana
I
Soma Yoshua 10:12
Ndipo Yushua akanena na Bwana katika Siku hiyo ambayo Bwana aliwatoa Waamori mbele ya wana wa Israeli;akasema mbele ya macho ya Israeli;Wewe JUA,SIMAMA KIMYA juu ya Gibeoni;Na wewe mwezi, simama katika bonde la Aiyaloni.
- Wameshindwa kujua kama jua limesimama,halitembei.
Yoshua 10:13
Ndipo jua LIKASIMAMA...
Soma Yoshua 10:13Arbab umemmaliza tayari sasa sijui kama anasubiri lizame kwenye tope au anasubiri lisimame bondeni akalisalimie :-D
Tunaomba kujua wana sayansi walio enda kupima joto la jua walitumia material gani?, nilijaribu sana kumfatilia Izack Newton mgunduzi wa jua lakini hakuna sehem aloandika kwa uyakinifu vifaa maalumu vilivyo tumika kupima joto la jua!
Hawadanganyi, ni wewe tu ndo huna uaminifu kwenye science.. Agency kama ile hua hawafanyi mambo kiholela! ndo maana wanachukua only the best minds in the world... sio majini wale jamaa, ni binadamu ka wengine hawana sababu za kudanganya dunia nzima wakatupa picha feki
Kama hao Nasa ni binaadamu bas hawashindwi kudanganya.