Kuna list umeonyesha GDP per capitalIpo Juu ipi? Onyesha ilipo Juu kwenye mada yangu hapa au umeona Iringa kwenye top 10?
Kuna list umeonyesha GDP per capitalIpo Juu ipi? Onyesha ilipo Juu kwenye mada yangu hapa au umeona Iringa kwenye top 10?
Hiyo ni mada nyingine.That one makes sense just for the living standard of the individuals but not the Importance of the particular Region in National GDP.Kuna list umeonyesha GDP per capital
I have understood brother,thank you for informationKuna list umeonyesha GDP per capital
I have understood brother, thank you for information.Hiyo ni mada nyingine.That one makes sense just for the living standard of the individuals but not the Importance of the particular Region in National GDP.
Pia naomba kukuuliza,kwa uzoefu wako unazani ni mikoa ipi mizuri kiutaftaji,yani yenye fursa mbalimbali hapa tz?Hiyo ni mada nyingine.That one makes sense just for the living standard of the individuals but not the Importance of the particular Region in National GDP.
Mwanza,Mbeya,Songwe(Tunduma),Shinyanga,Geita,Morogoro(Ifakara,Mlimba),Dodoma Mjini,Pwani.Pia naomba kukuuliza,kwa uzoefu wako unazani ni mikoa ipi mizuri kiutaftaji,yani yenye fursa mbalimbali hapa tz?
Vipi kuhusu songwe wilayani? Wanapaita mkwajuni cjuw,Kuna fursa gan huko kama una abc zakeMwanza,Mbeya,Songwe(Tunduma),Shinyanga,Geita,Morogoro(Ifakara,Mlimba),Dodoma Mjini,Pwani.
Sijui kwanza ni Kijijini huko,Sasa Mkwajuni utaita Mji?Vipi kuhusu songwe wilayani? Wanapaita mkwajuni cjuw,Kuna fursa gan huko kama una abc zake
Anha nlzan unapafaham,vp tunduma Kuna fursa zpSijui kwanza ni Kijijini huko,Sasa Mkwajuni utaita Mji?
😄 🤣 😂 😆 ChoiceVariable wapi Dodoma?Ofisi ya Taifa ya Takwimu Imetoa data zinazoonyesha Ukubwa wa Uchumi Kwa Kila mkoa Kwa Tanzania Bara Kwa mwaka 2022.
NBS imechapisha kitabu Cha Hali ya Uchumi wa Taifa mwaka yaani Tanzania in Figures 2022 zinazoonesha Ukubwa wa Uchumi wa Kila Mkoa(Regional GDP) na jinsi unavyochangia kwenye Pato la Taifa (GDP) Kwa Mikoa yote 26 ya Bara.
Orodha ifuatayo inaonesha Mikoa 10 yenye Uchumi na Maendelea zaidi kushinda Mingine( Regional GDP at Current Market Prices )
1. Dar es salaam =29.029
2. Mwanza =12.214
3. Mbeya =9.504
4. Morogoro=8.148
5. Arusha=8.000
6. Tanga=7.920
7. Geita=7.710
8. Kilimanjaro=7.585
9. Ruvuma=6.393
10. Tabora=6.284
Credit :NBS,Tanzania in Figures 2022.
(Figures are in Tanzania Trilioni Shillings).
My Take
-Kama Mkoa wako haupo hapo basi ujue uko sehemu ya maskini.
-Tanga inaenda kuipita Arusha na Morogoro
-Mbeya mbioni kufikia transactions za Trilioni 10 Kwa mara ya kwanza.
Cc Kitombile laizerg Mikdde Quality Control Accumen Mo instanbul The Great Haya
View attachment 2707223
Dodoma ilitelekezwa miaka Mingi,unategemea miujiza ndani ya miaka 5 iliyopita? Subiria assessment baada ya miaka 10,Kwa Sasa GDP yake ni 5.3 na Mwaka 2023 inaweza fika 6 so kabla ya 2030 itakuwepo top 10.😄 🤣 😂 😆 ChoiceVariable wapi Dodoma?
Hahahahaahah 😃 😃 2019 baada ya serikali kuhamia ndio mauzo ya plot yalisogeza Dodoma sasa imeanza shuka kwa speed ya 🚀
Huioni top 10? Licha ya kuwa kamkoa kadgo sana lakin tangu uhuru haijawahi kukosekana top 10Kilimanjaro kelele nyiingi
Kamkoa kadgo kama Kilimanjaro Ku mentain top 10 tangu uhuru kwa GDP ni jambo la kujivunia