USSR
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 9,896
- 22,664
UTALII UTALII NA UWEKEZAJI- KILOMBERO.
1. Fursa mbalimbali za Uwekezaji katika Wilaya ya Kilombero, Mkoa wa Morogoro.
2. Kilombero inafikika kwa njia zote, Train, Barabara, ndege etc.
3. Ni 430km kutoka Dsm, ni 230km kutoka Mjini Morogoro, ni 110km kutoka Mikumi.
Fursa za Utalii Kilombero ni nyingi sana
1. Udzungwa Mountain Falls National Park Kuna Ndege na Vipepeo wasiopatikana Pengine popote Duniani.
2. Mwl. Nyerere National Park.Wanya wote wakubwa.
3. Kihansi Dam (Power) na Vyura Wanaozaa.
4. Bonde Oevu la Mto Kilombero pamoja na Mto Kilombero.Daraja refu la Mto Kilombero
5. Mto Ruaha Mkuu
6. Bwawa la Kuzalisha Umeme Kidatu.
8. Fursa za kilimo cha Miwa, na uwepo wa Viwanda vya Sukari Kilombero Sugar
9. Kilimo cha Mpunga na Chuo cha Kilimo Katrini utapata Mbegu bora za Mpunga.
10. Eneo la wazi la Uwindaji wa Kitalii (Mito ya Mnyera na Rhuhuji) Wanyama aina ya Simba, Chui, Nyati, Tembo, Pofu,Kiboko, Mamba, Sheshe.
11. Uvuvi wa Burudani Samaki aina ya Njege (Tiger Fish) katika Mto Mnyera.
12. Mapomoko ya Maji Kifuka,Sanje na Udzungwa
13. Mabwawa ya Asili ya Mbalafu na Wisesa.
14. Bwawa la Mbalali
USSR
1. Fursa mbalimbali za Uwekezaji katika Wilaya ya Kilombero, Mkoa wa Morogoro.
2. Kilombero inafikika kwa njia zote, Train, Barabara, ndege etc.
3. Ni 430km kutoka Dsm, ni 230km kutoka Mjini Morogoro, ni 110km kutoka Mikumi.
Fursa za Utalii Kilombero ni nyingi sana
1. Udzungwa Mountain Falls National Park Kuna Ndege na Vipepeo wasiopatikana Pengine popote Duniani.
2. Mwl. Nyerere National Park.Wanya wote wakubwa.
3. Kihansi Dam (Power) na Vyura Wanaozaa.
4. Bonde Oevu la Mto Kilombero pamoja na Mto Kilombero.Daraja refu la Mto Kilombero
5. Mto Ruaha Mkuu
6. Bwawa la Kuzalisha Umeme Kidatu.
8. Fursa za kilimo cha Miwa, na uwepo wa Viwanda vya Sukari Kilombero Sugar
9. Kilimo cha Mpunga na Chuo cha Kilimo Katrini utapata Mbegu bora za Mpunga.
10. Eneo la wazi la Uwindaji wa Kitalii (Mito ya Mnyera na Rhuhuji) Wanyama aina ya Simba, Chui, Nyati, Tembo, Pofu,Kiboko, Mamba, Sheshe.
11. Uvuvi wa Burudani Samaki aina ya Njege (Tiger Fish) katika Mto Mnyera.
12. Mapomoko ya Maji Kifuka,Sanje na Udzungwa
13. Mabwawa ya Asili ya Mbalafu na Wisesa.
14. Bwawa la Mbalali
USSR