Ijue Kata iliyotengwa ya "Kanga Kinyerezi " jijini Dar es Salaam

kinyotak

Member
Jul 6, 2020
9
6
Habari wana jamvi,

Wananchi wanateseka sana, wanasononeshwa na matatizo mengi hasa Maji na Barabara alisikika mwananchi akisema

kanga.png


"Huyu aliye itenda hii kanga yetu alikuwa kidume haswaa kiukweli kama tunaishi tumetengwa hatuna baba wala mama jambo la kimaendeleo likianza tu muda mchache linapigwa fitna ilimradi tubakie hatuna pakuelekea tunaomba wachungaji na masheikh wahuku Kinyerezi watuombee haswa hapa pana pepo mchafu anatusumbua"

Haya ni baadhi ya maneno ya Mwananchi kutoka kata hiyo, baadhi ya kero kubwa za kata hiyo ni barabara ambazo wananchi kwa nguvu zao wenyewe walijaribu kuziziba.

Kwa sasa baada ya mvua kupita, barabara kwa uchache wamechimba na kufukia mashimo kero hiyo kwa kweli haiishi ikiwa wenye dhamana hawana muda, wanahangaishwa na viongozi wanaosubiri uchaguzi sio sawa.

Alieleza mwananchi huyo kwa uchungu. Anasema wanawake kwa wanaume wanateswa na adha ya maji ambayo ni hatarishi kwa wanawake wanaohangaika usiku kucha kutafuta maji.

"Hali halisi ndio hiyo hapa Kanga kinyerezi tunatangaziwa serikali inawatua ndoo wanawake kichwani hapa wanaume ndio tunawatua wake zetu ndoo"

Hayo ni baadhi ya matatizo ya wananchi wa jiji lenye viongozi walioteuliwa, wao wakiwa hawana habari na shida za wananchi
 
Tatizo lenu ni hapa, mambo yakiharibika mnamtafuta diwani na mbunge, ila mambo yakienda sawa utasikia Magufuli baba Lao mara Hapa kazi tu
Hizo ni ngazi za utendaji.
Kabla hujakulupuka kumfuata Magufuli kwanza lazima tuhakikishe Halmashauri inalijua tatizo husika na imelishughulikia kiasi gani
 
Habari wana jamvi,

Wananchi wanateseka sana, wanasononeshwa na matatizo mengi hasa Maji na Barabara alisikika mwananchi akisema

View attachment 1498736

"Huyu aliye itenda hii kanga yetu alikuwa kidume haswaa kiukweli kama tunaishi tumetengwa hatuna baba wala mama jambo la kimaendeleo likianza tu muda mchache linapigwa fitna ilimradi tubakie hatuna pakuelekea tunaomba wachungaji na masheikh wahuku Kinyerezi watuombee haswa hapa pana pepo mchafu anatusumbua"

Haya ni baadhi ya maneno ya Mwananchi kutoka kata hiyo, baadhi ya kero kubwa za kata hiyo ni barabara ambazo wananchi kwa nguvu zao wenyewe walijaribu kuziziba.

Kwa sasa baada ya mvua kupita, barabara kwa uchache wamechimba na kufukia mashimo kero hiyo kwa kweli haiishi ikiwa wenye dhamana hawana muda, wanahangaishwa na viongozi wanaosubiri uchaguzi sio sawa.

Alieleza mwananchi huyo kwa uchungu. Anasema wanawake kwa wanaume wanateswa na adha ya maji ambayo ni hatarishi kwa wanawake wanaohangaika usiku kucha kutafuta maji.

"Hali halisi ndio hiyo hapa Kanga kinyerezi tunatangaziwa serikali inawatua ndoo wanawake kichwani hapa wanaume ndio tunawatua wake zetu ndoo"

Hayo ni baadhi ya matatizo ya wananchi wa jiji lenye viongozi walioteuliwa, wao wakiwa hawana habari na shida za wananchi
Bona Kamoli a.k.a BONA KALUA anafaa kuongoza Jimbo la Segerea iwapo kashindwa kuongoza ndoa yake?
huyu dada amekimbiwa na mume wake ambaye ni wakili KALUA, hii ilitokana na wakili kila wakati wa bunge kumfuata mkewe kipindi cha ijumaa na kushinda naye wakipeana haki yao mpaka jumapili jioni, naona huyu dada akaona anabanwa sana na huku huenda alitaka ladha nyingine , basi bwana, wakili akirudi Dar weekdays mamaa anajiachia na awajuao, mpaka jamaa akafungua kesi ya talaka na akapata talaka, dada kajibadili jina anaita la wazazi wake, kwahiyo huyu ni BACHELA, hana mume, na kumbuka kwa mtu mzima ambaye alikuwa anapata haki kila siku akiikosa akili lazma iruke, ushauri kama mwanamke, atafute kwanza mume, asimamie familia ndio aje mtaani kusimamia wengine.
 
Sio kanga pekee Bali mitaa yote ya Kata ya kinyerezi ni kizungumkuti.

Kata ya kinyerezi ina kadirio la wakazi elfu hamsini(50,000). Kata hii ina mitaa sita yaani mtaa wa kinyerezi, Kanga, Kibaga, kifuru, kwalimbanga na kichangani. Diwani wa kata ya kinyerezi ni kutoka Chadema, na mitaa mingi ilikua upinzani mpaka 2019 baada ya Ccm kurejesha mitaa yote.

Changamoto ni kuwa miradi yote ya maendeleo ilikua ikikwamishwa na wanasiasa. Mfano. Mradi ukianzishwa na Mbunge basi diwani kwasababu ni upinzani ataukwamisha. Vivyo hivyo kinyume chake.

Lakini Chama Cha Mapinduzi kimejipanga vyema kabisa kukomesha changamoto zote kwa kusimika viongozi wazalendo na wenye hali ya kufanya kazi. Chama kimeanza na Wenyeviti wa Ccm na Octoba tunaenda kumchagua Bi Leah Mgitu Kama Diwani, Bona Kamoni Mbunge na Magifuli JP Rais. Wana Kinyerezi tuichague Ccm kwa maendeleo
 
Back
Top Bottom