Ijue dhambi

Backdoor

JF-Expert Member
May 23, 2017
316
422
Habari za wakati huu wakuu..

Hebu leo tujifunze kidogo Juu ya dhambi.

Toka kuumbwa kwa ulimwengu halikuwa kisudi la MUNGU watu wake aliowaumba kwa sura na mfano wake(ambayo ni roho) wateseka iwe kwa maradhi, magonjwa ama Vita.

Asili ya MUNGU ni wema, hivyo Kila atendalo ni jema.

Sasa dhambi ni Nini?

Dhambi ni mzizi ambao huzalisha lolote lisilo la haki.

Na haki je?

Haki ni uwezo wa kusimama mbele za Mungu pasipo kuhesabiwa hatia.

Dhambi ndio huzalisha makosa. Hivyo basi kuzini, kuiba kuua ni matokeo tu ya dhambi.

Inakuaje Sasa tuna dhambi..
Rejea kitabu Cha mwanzo, mtu wa Kwanza Adam alipoanguka katika uasi na Kula tunda aliloambiwa asilile. Hapo ndipo sote tunaangukia katika dhambi.

Kwanini?
Kwasababu sote tuna mbege ya Adam ndani yetu.
Mbegu ya uasi(dhambi). Hii ndio inatufanya wanaadamu wote tuwe na dhambi.

Swali ambalo watu wengi hujiuliza kwanini Mungu aliamua kumuua mwanae wa pekee badala ya kumuua shetani, ni kwasababu hata shetani akitolewa Leo Bado tunabaki na hatia mbele ya MUNGU kwaajili ya mbegu tuliyo nayo.

Ndio maana Sasa MUNGU aliamua kushughulika na mzizi.

Hapo ndipo alipomtuma mwanae YESU KRISTO asiye wa asili ya dhambi alipokuja dunia. Yeye anatoka mbinguni,tukumbuke alizaliwa kwa uwezo wa roho mtakatifu.kwa maana nyingine alizaliwa bila kuwa mbengu ya Adam ndani yake ambayo asili yake ni dhambi.
Ili kututoa katika asili ya dhambi na kutufanya tuwe wenye asili ya Mungu ambayo ni kutokutenda dhambi.

Sasa ilifanyikaje?

Ndipo alipokuja ulimwenguni na kufa na kufufuka.

Kwa kuamini hilo, ndio ondoleo la dhambi linapotokea. Na ndio kuzaliwa mara ya pili katika(roho).Ambapo mtu ahesabiwi Tena dhambi.
 
Niliwahi kusoma mahali;Hakimu John pretence kabla hajatoa hukumu kwenye kesi alitoa hasithi fupi km ifuatatayo:MUNGU kabla hajamuumba binadamu aliuliza Haki,kweli na huruma iwapo ni vema amuumbe huyo kiumbe

HAKI akajibu la,usimuumbe mwanadamu maana atakuja kuwa mbaya sn,atatenda mambo mengi yasiyofaa na yenye kukuhasi

KWELI akajibu usimuumbe mwanadamu maana siku zake zote atakuwa ni mwenye Kusema uongo,kusengenya na kuwaza mabaya

HURUMA akajibu najua mwanadamu atakuwa ni kiumbe mwenye kila Aina ya madhaifu na mambo mengi mabaya lakini Mimi nitamlinda na kumuhurumia na mwisho siku nitamleta kwako

Nilichojifunza ni kwamba mwanadamu hata ujitahidi vipi kutotenda dhambi ni Jambo ambalo halitakuja kuwezekana.Mungu anatufahamu sn madhaifu yetu hata kabla hajatuumba

Na MUNGU ktk vipimo vyake vitatu,kipimo cha huruma kwetu ni kikubwa kuashiria anatupenda kuliko kutuwazia mabaya

Tatizo letu wanadamu tunapenda kutafuta Haki ya MUNGU Kwa matendo,lkn ukweli mchungu ni kwamba tunaishi Kwa neema Tu na tutaokolewa Kwa neema na siyo matendo yetu..Mimi sina dhambi
 
Niliwahi kusoma mahali;Hakimu John pretence kabla hajatoa hukumu kwenye kesi alitoa hasithi fupi km ifuatatayo:MUNGU kabla hajamuumba binadamu aliuliza Haki,kweli na huruma iwapo ni vema amuumbe huyo kiumbe

HAKI akajibu la,usimuumbe mwanadamu maana atakuja kuwa mbaya sn,atatenda mambo mengi yasiyofaa na yenye kukuhasi

KWELI akajibu usimuumbe mwanadamu maana siku zake zote atakuwa ni mwenye Kusema uongo,kusengenya na kuwaza mabaya

HURUMA akajibu najua mwanadamu atakuwa ni kiumbe mwenye kila Aina ya madhaifu na mambo mengi mabaya lakini Mimi nitamlinda na kumuhurumia na mwisho siku nitamleta kwako

Nilichojifunza ni kwamba mwanadamu hata ujitahidi vipi kutotenda dhambi ni Jambo ambalo halitakuja kuwezekana.Mungu anatufahamu sn madhaifu yetu hata kabla hajatuumba

Na MUNGU ktk vipimo vyake vitatu,kipimo cha huruma kwetu ni kikubwa kuashiria anatupenda kuliko kutuwazia mabaya

Tatizo letu wanadamu tunapenda kutafuta Haki ya MUNGU Kwa matendo,lkn ukweli mchungu ni kwamba tunaishi Kwa neema Tu na tutaokolewa Kwa neema na siyo matendo yetu..Mimi sina dhambi
Hakika mkuu kuna mambo huwa tunayoyafanya yanayonekana kama dhambi mbele za Mungu na hutokea tuu sababu ya madhaifu ya ki uwanadamu hayo hayahesabiwi kuwa ni kosa au dhambi, bali kuna makosa tunayoyafanya kwa kudhamiria toka ndani ya mioyo yetu kwa hayo mbele za Mungu uhesabiwa kuwa ni dhambi,kwa hyo swala la kujihesabia ukamilifu au kuwa watakatifu mbele za Mungu kwa binadamu bado ndio maana hata mwenyewe anasema hakuna mwanadamu aliyekamilika mbele zake bado tuna madhaifu makubwa sana na mara nyingine tunashinda zile dhambi kwa Neema tuu na sio kwamba sisi ni watakatifu kihivyo au tumekamilika kivile hapana
 
Hakika mkuu kuna mambo huwa tunayoyafanya yanayonekana kama dhambi mbele za Mungu na hutokea tuu sababu ya madhaifu ya ki uwanadamu hayo hayahesabiwi kuwa ni kosa au dhambi, bali kuna makosa tunayoyafanya kwa kudhamiria toka ndani ya mioyo yetu kwa hayo mbele za Mungu uhesabiwa kuwa ni dhambi,kwa hyo swala la kujihesabia ukamilifu au kuwa watakatifu mbele za Mungu kwa binadamu bado ndio maana hata mwenyewe anasema hakuna mwanadamu aliyekamilika mbele zake bado tuna madhaifu makubwa sana na mara nyingine tunashinda zile dhambi kwa Neema tuu na sio kwamba sisi ni watakatifu kihivyo au tumekamilika kivile hapana
Kabisa mkuu,tatizo alilonalo binadamu ni kujihesabia Haki Kwa matendo ya Sheria

Kuna zile amri kumi alizopewa Musa na MUNGU.Zile amri alimpa kwenda kuwapa wale jamaa kule chini ili ziwe Kama kioo Chao wajione ni jinsi gani walivyo dhaifu na wasivyoweza kuzitimiza zile amri hata watumie nguvu gani

Sisi wakristo wa leo atuhitaji kuzifuata zile amri maana Kwa kadili unavyozidi kujitahidi kuwa mtu wa Sheria ndvyo unavyozidi kuisogelea dhambi,badala yake KWETU AMRI ILIYO KUU ALIYOTUACHIA BWANA YESU NI UPENDO
 
Kabisa mkuu,tatizo alilonalo binadamu ni kujihesabia Haki Kwa matendo ya Sheria

Kuna zile amri kumi alizopewa Musa na MUNGU.Zile amri alimpa kwenda kuwapa wale jamaa kule chini ili ziwe Kama kioo Chao wajione ni jinsi gani walivyo dhaifu na wasivyoweza kuzitimiza zile amri hata watumie nguvu gani

Sisi wakristo wa leo atuhitaji kuzifuata zile amri maana Kwa kadili unavyozidi kujitahidi kuwa mtu wa Sheria ndvyo unavyozidi kuisogelea dhambi,badala yake KWETU AMRI ILIYO KUU ALIYOTUACHIA BWANA YESU NI UPENENDO

Kabisa mkuu,tatizo alilonalo binadamu ni kujihesabia Haki Kwa matendo ya Sheria

Kuna zile amri kumi alizopewa Musa na MUNGU.Zile amri alimpa kwenda kuwapa wale jamaa kule chini ili ziwe Kama kioo Chao wajione ni jinsi gani walivyo dhaifu na wasivyoweza kuzitimiza zile amri hata watumie nguvu gani

Sisi wakristo wa leo atuhitaji kuzifuata zile amri maana Kwa kadili unavyozidi kujitahidi kuwa mtu wa Sheria ndvyo unavyozidi kuisogelea dhambi,badala yake KWETU AMRI ILIYO KUU ALIYOTUACHIA BWANA YESU NI UPENDO
Hakika mkuu
 
Back
Top Bottom