MsemajiUkweli
JF-Expert Member
- Jul 5, 2012
- 13,171
- 23,980
Ukweli husemwa:
Kwa miaka sita mfululizo, Mo Ibrahim foundation imekuwa ikifanya fahirisi katika nchi zote za Afrika katika maswala ya utawala ambapo mwaka huu imefanya utafiti katika nchi 52 za Afrika.
Kila mwaka imekuwa ikichapisha matokeo ya uchanganuzi wake uliojikita katika maeneo ya Amani na Utawala wa Sheria, Haki za Binadamu, Maendeleo ya Kisiasa na Kiuchumi kwa kushirikiana na mawakala 23 kutoka Afrika na Ulimwenguni kote.
Kwa mara ya kwanza, Tanzania imekuwa ni miongoni mwa nchi kumi bora afrika.
Angalizo:
1) Kwa chapisho hili, Nini matokeo ya madai yaliyowasilishwa na kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) katika Mahakama ya Uhalifu ya Kimataifa (ICC) na katika Tume ya Afrika ya Haki za Binadamu kutaka kuishitaki serikali kwa ukiukwaji wa haki za binadamu.
2) Kwa chapisho hili, Nini maana ya malalamiko mbalimbali yanayotolewa na baadhi ya Wanaharakati, Wanasiasa na Wananchi kuwa Serikali ya Awamu ya Nne imeshindwa kukidhi matakwa ya wananchi katika utawala bora.
Tanzania's recent performance in the Ibrahim Index of African Governance
Tanzania: Sub Category Ranks
Data hizi zimepatikana kutoka Mo Ibrahim Foundation.
Kwa miaka sita mfululizo, Mo Ibrahim foundation imekuwa ikifanya fahirisi katika nchi zote za Afrika katika maswala ya utawala ambapo mwaka huu imefanya utafiti katika nchi 52 za Afrika.
Kila mwaka imekuwa ikichapisha matokeo ya uchanganuzi wake uliojikita katika maeneo ya Amani na Utawala wa Sheria, Haki za Binadamu, Maendeleo ya Kisiasa na Kiuchumi kwa kushirikiana na mawakala 23 kutoka Afrika na Ulimwenguni kote.
Kwa mara ya kwanza, Tanzania imekuwa ni miongoni mwa nchi kumi bora afrika.
Angalizo:
1) Kwa chapisho hili, Nini matokeo ya madai yaliyowasilishwa na kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) katika Mahakama ya Uhalifu ya Kimataifa (ICC) na katika Tume ya Afrika ya Haki za Binadamu kutaka kuishitaki serikali kwa ukiukwaji wa haki za binadamu.
2) Kwa chapisho hili, Nini maana ya malalamiko mbalimbali yanayotolewa na baadhi ya Wanaharakati, Wanasiasa na Wananchi kuwa Serikali ya Awamu ya Nne imeshindwa kukidhi matakwa ya wananchi katika utawala bora.
Tanzania's recent performance in the Ibrahim Index of African Governance
Rank (../52) | Category / Sub-Category | Score (../100) | Change | |||||
---|---|---|---|---|---|---|---|---|
2006 | 2007 | 2008 | 2009 | 2010 | 2011 | 06-11 | ||
10th | Overall | 58.4 | 58.1 | 58.3 | 58.4 | 59.1 | 58.8 | 0.4 |
16th | Safety & Rule of Law | 63.5 | 61.9 | 63.0 | 60.7 | 60.0 | 62.3 | -1.2 |
19th | Rule of Law | 56.5 | 57.2 | 56.3 | 55.3 | 55.3 | 55.3 | -1.3 |
20th | Accountability | 50.1 | 47.8 | 49.6 | 48.6 | 47.4 | 46.6 | -3.6 |
10th | Personal Safety | 52.5 | 52.5 | 56.3 | 48.8 | 47.5 | 57.5 | 5.0 |
13th | National Security | 95.0 | 90.0 | 90.0 | 90.0 | 90.0 | 90.0 | -5.0 |
9th | Participation & Human Rights | 63.4 | 64.0 | 56.9 | 59.6 | 61.6 | 62.3 | -1.1 |
15th | Participation | 66.3 | 67.4 | 54.1 | 61.4 | 60.1 | 62.3 | -4.0 |
18th | Rights | 46.6 | 49.5 | 46.4 | 47.8 | 52.6 | 52.6 | 6.0 |
6th | Gender | 77.3 | 75.0 | 70.2 | 69.5 | 71.9 | 71.9 | -5.4 |
14th | Sustainable Economic Opportunity | 52.4 | 53.1 | 57.3 | 56.7 | 57.2 | 54.2 | 1.8 |
20th | Public Management | 62.6 | 62.5 | 64.2 | 60.6 | 59.1 | 57.5 | -5.1 |
23rd | Business Environment | 58.9 | 59.5 | 60.8 | 63.9 | 63.3 | 56.4 | -2.5 |
22nd | Infrastructure | 23.1 | 23.5 | 30.9 | 28.5 | 32.4 | 32.8 | 9.7 |
7th | Rural Sector | 65.1 | 67.0 | 73.2 | 74.1 | 74.1 | 70.1 | 4.9 |
23rd | Human Development | 54.3 | 53.3 | 56.1 | 56.7 | 57.4 | 56.4 | 2.1 |
27th | Welfare | 51.0 | 51.4 | 51.8 | 52.2 | 52.1 | 49.2 | -1.9 |
32nd | Education | 42.2 | 44.2 | 46.0 | 47.2 | 46.5 | 46.5 | 4.3 |
17th | Health | 69.7 | 64.3 | 70.4 | 70.5 | 73.5 | 73.5 | 3.8 |
Tanzania: Sub Category Ranks
Data hizi zimepatikana kutoka Mo Ibrahim Foundation.