Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 33,586
- 66,282
Kuna watu tuna idharau sana sehemu tunazo fanyia kazi
Sehemu unayo fanyia kazi watu hawataki kujua maisha yako kabisa punguza story nyingi na watu kuna baadhi akifa kazini ana anza kuhadithia yaliyo tokea jana kwake yaan ana kusanya watu na kuhadhia hii mbaya sana
Epuka madeni una weza ika ofisi yako hawawapi chakula kuna cafeteria pembeni lakini uko nako una kopa kiasi kwamba mpaka ulipe waje kwa boss wako washtaki na kwa kufanya hivi una jishushia heshima epuka madeni hatukatai kukopa ila lipa madeni
Sehemu yako ya kazi isiwe sehemu ya kutatulia matatizo ya familia yako ume zalisha uko au una familia mke ana kuja ofisin kwa boss wako kukulalamikia hii sio sawa kabisa jitahidi kumaliza shida zako za familia nyumbani hii ina kushushia heshima sana na uaminifu una pungua
Acha kujieleza eleza shida zako kwa boss wako jua mipaka yako kabisa ikiwezekana acha mazoea na boss hatakiwi kukujua njee ya kazi usitengeneze urafiki na boss siku ukiisha utakataliwa vibaya sana aibuu
Yangu ni hayo wakuu ongezeeni mengine
Sehemu unayo fanyia kazi watu hawataki kujua maisha yako kabisa punguza story nyingi na watu kuna baadhi akifa kazini ana anza kuhadithia yaliyo tokea jana kwake yaan ana kusanya watu na kuhadhia hii mbaya sana
Epuka madeni una weza ika ofisi yako hawawapi chakula kuna cafeteria pembeni lakini uko nako una kopa kiasi kwamba mpaka ulipe waje kwa boss wako washtaki na kwa kufanya hivi una jishushia heshima epuka madeni hatukatai kukopa ila lipa madeni
Sehemu yako ya kazi isiwe sehemu ya kutatulia matatizo ya familia yako ume zalisha uko au una familia mke ana kuja ofisin kwa boss wako kukulalamikia hii sio sawa kabisa jitahidi kumaliza shida zako za familia nyumbani hii ina kushushia heshima sana na uaminifu una pungua
Acha kujieleza eleza shida zako kwa boss wako jua mipaka yako kabisa ikiwezekana acha mazoea na boss hatakiwi kukujua njee ya kazi usitengeneze urafiki na boss siku ukiisha utakataliwa vibaya sana aibuu
Yangu ni hayo wakuu ongezeeni mengine