Erick G. Mkinga
Member
- May 19, 2011
- 62
- 5
Wasiwasi wa nini CCM ndio mpango...Utasitaajabu jinsi watanzania walivyo na mapenzi na CCM..Unajua pale Ni TABORA sio moshi.
Duh! kumbe unasikia na mimi ninavyosikia TADEA ina wafuasi wengi mno mno tena sana.
<br />Kama huna ishu za kuandika usipende kupotosha umma. Mbona mi nipo hapa Igunga na sijaona ujio wa CUF wala fununu za kuwapo hapo.... Ujue JF tupo hata huko..koma kwa uongo wako....mdanganye mkeo, na wanao