IGUNGA - Bila Mwl. Kashindye CHADEMA inajichimbia KABURI

IGUNGA - Bila Mwl. Kashindye CHADEMA inajichimbia KABURI

Nilicho kizungumzia na kukitegemea ndicho kilichotokea wamempitisha kijana anayeitwa Kube ambaye alikuwa kinara wa rushwa ni vema uongozi wa juu ukafanya uchunguzi wa kina huyu kijana katokea wapi, fedha kapewa na nani na je lengo lake ni mini? Mwisho namalizia tena bila Mwl.Kashindye CDM Igunga itakuwa imejichimbia kaburi.
 
Hata Mwl. kashindye akikubali je wananchi watakubali? tukumbuke kuwa hao wanaopiga kura kuteua haya majina si wananchi kwa wingi wao bali ni kakikundi ka watu wachache.
Hivi wewe ni mwana CHADEMA kweli?
CHADEMA ni chama cha democracy unaposema wajumbe ni kakikundi cha Watu wachache una maana gani?
Alafu kwanini unashinikiza makao makuu wamchague mtia nia kwa nguvu?
Kaa ukijua CHADEMA kimejipambanua kwa misingi ya haki, usawa, democracy na uzalendo Naomba viongozi wa CHADEMA mkoa wawatafute Watu wa aina yako kwenye chama na waangalie namna ya kuwashughulikia kama Zitto sababu nyie ndio mnaoleta mpasuko kwenye chama.

Namuunga Mkono Mwl. KASHINDYE kwa nguvu
Zote apeperushe bendera ya CHADEMA IGUNGA.
 
Nilicho kizungumzia na kukitegemea ndicho kilichotokea wamempitisha kijana anayeitwa Kube ambaye alikuwa kinara wa rushwa ni vema uongozi wa juu ukafanya uchunguzi wa kina huyu kijana katokea wapi, fedha kapewa na nani na je lengo lake ni mini? Mwisho namalizia tena bila Mwl.Kashindye CDM Igunga itakuwa imejichimbia kaburi.

Acha kuweweseka wewe! Mwambie ahamie rasmi ACT - Wavamizi ili wampe ukurugenzi na gari. Kwanza huyo Mwalimu asiyejitambua aliweza kurubuniwa na Zitto kiasi cha kusababisha mtikisiko wa wanachama waliojitolea kwenye uchaguzi mdogo wa marudio ambapo walitumia fedha na damu zao katika kuhakikisha Nwalimu asiyejitambua kupata ushindi. Matokeo ya Igunga ameyasababisha yeye mwenyewe na wala asimtafute mchawi.
 
Hivi wewe ni mwana CHADEMA kweli?
CHADEMA ni chama cha democracy unaposema wajumbe ni kakikundi cha Watu wachache una maana gani?
Alafu kwanini unashinikiza makao makuu wamchague mtia nia kwa nguvu?
Kaa ukijua CHADEMA kimejipambanua kwa misingi ya haki, usawa, democracy na uzalendo Naomba viongozi wa CHADEMA mkoa wawatafute Watu wa aina yako kwenye chama na waangalie namna ya kuwashughulikia kama Zitto sababu nyie ndio mnaoleta mpasuko kwenye chama.

Namuunga Mkono Mwl. KASHINDYE kwa nguvu
Zote apeperushe bendera ya CHADEMA IGUNGA.

Ndugu niliweka bandiko hili nikiwa na uhakika kabisa kitakachotokea, kwa hiyo hapo nilipoweka RED kama unamuunga mkono Mwl. Kashindye ndio hivyo tena wameisha mpiga chini kama mimi nilivyoeleza kwa hiyo sijui utamuunga mkono yupi sasa.
 
Acha kuweweseka wewe! Mwambie ahamie rasmi ACT - Wavamizi ili wampe ukurugenzi na gari. Kwanza huyo Mwalimu asiyejitambua aliweza kurubuniwa na Zitto kiasi cha kusababisha mtikisiko wa wanachama waliojitolea kwenye uchaguzi mdogo wa marudio ambapo walitumia fedha na damu zao katika kuhakikisha Nwalimu asiyejitambua kupata ushindi. Matokeo ya Igunga ameyasababisha yeye mwenyewe na wala asimtafute mchawi.

Ndugu usiwe na muhemko kiasi hicho Igunga sio sehemu ya kufanyia siasa nyepesi kiasi hicho tambua kuwa Igunga ndio kitovu cha mabadiriko mkoa wa Tabora, Hivyo kwa hiki walichokifanya hawa wajumbe kwa kumteua yule kijana ni wazi kabisa CHADEMA imejiondoa kwenye ushindani na nakuhakikishia kama kilichotokea kitaendelea hivyo hivyo CCM hata wakiweka jiwe wanashinda kiti cha Ubunge na udiwani kwa Igunga mjini ndio unaondoka hivyo kwani wananchi watapiga kura za hasira kuwakomoa hao waliofanya ufedhuri huo wa kumwangusha Mwl. Kashindye.
 
Yaani bora usingekuja mbona wamemkatillia.mbali.nzega.wamempa.nani???
 
Mchungaji karudi kufundisha basi nayeye akafundishe ...alipoacha kazi..mamboya rasi li mali yakwenu
 
Kama anapendwa kweli kwa maelezo yako, then huna haja ya kuwa na wasiwasi. Nyie mpitisheni kura za maoni tu.

Mwl. kashindye anapendwa na wanachama na wapenzi na hata baadhi ya wasio na chama na hata wale wengine wa upande wa CCM isipokuwa hicho kikundi cha wachache wanaohusika katika mkutano huo wa uteuzi ndio wamejenga chuki zisizojulikana zimetokea wapi kwani hawa wote walikuwa pamoja cha ajabu baada ya kuja huyo kijana KUBE mwezi may 2015 wakabadilika ghafla na kujipanga kwa nguvu zote kuhakikisha wanamwangusha katika kura za maoni.
 
Hata Mwl. kashindye akikubali je wananchi watakubali? tukumbuke kuwa hao wanaopiga kura kuteua haya majina si wananchi kwa wingi wao bali ni kakikundi ka watu wachache.

..hata kama ni kakikundi kadogo bado wanawajibika kumpigia kura mgombea ambaye wanaamini atakiletea chama ushindi.
 
nimefuatilia sana suala la mleta mada, pamoja nakuonesha mahaba kwa Mwalimu Kashindye ila anayoyasema kuhusu mgombea aliyeshinda ni sahihi. wakuu ni dhahiri kwamba uchauzi huu umulikwe na hata ushindi utenguliwe. Samson amepata ushindi kiCCM kwa kugawa rushwa kwa wajumbe
 
.....wakabadilika ghafla na kujipanga kwa nguvu zote kuhakikisha wanamwangusha katika kura za maoni....

Wamepanga kumwangusha kivipi?kupitia njia halali ya kura za maoni au!?
 
Wamepanga kumwangusha kivipi?kupitia njia halali ya kura za maoni au!?
Tatizo kubwa wengi wa wajumbe elimu yao bado ndogo hivyo ni rahisi kurubunika na hususani linapokuja suala la kupewa fedha kwani Jamii nyingi za huku ni masikini kumbuka uchaguzi mdogo 2011 watu waliweza kutoa kura kwaCCM kwa kupewa kisadolini cha mahindi yaani kg 3.
 
Naona kakikundi ka watu wachache kameshinda.CC Kibogo
Ndugu nina uhakika na ninachokimaanisha hao 159 ndio wapo nyuma ya huyo mshindi wao lakini kwa sisi wananchi kwa wingi wetu Mwl.Kashindye ndio chaguo letu kwani ni mwenzetu tofauti na hawa wanaokuja kwa lengo la kutafuta ajira za Ubunge.
 
nimefuatilia sana suala la mleta mada, pamoja nakuonesha mahaba kwa Mwalimu Kashindye ila anayoyasema kuhusu mgombea aliyeshinda ni sahihi. wakuu ni dhahiri kwamba uchauzi huu umulikwe na hata ushindi utenguliwe. Samson amepata ushindi kiCCM kwa kugawa rushwa kwa wajumbe

Mkuu hupo sawa kabisa humu kuna watu hawajui hali halisi iliyopo huku, ikumbukwe wazi Mwl.Kashindye ndiyo tishio kwa CCM na wameishafanya mbinu nyingi kutaka kumrubuni aweze kuondoka CDM ilishindikana kwa hii ni mbinu mpya waliyokuja nayo kuweza kuingiza mamluki wao na kutumia fedha nyingi na kuhakikisha wajumbe wanateua mgombea aliye dhaifu ili kusiwepo na upinzani wa kutosha na wao waweze kushinda kirahisi na ndio maana waliweza kuwekeza nguvu nyingi kwa huyu kijana kupewa fedha ambazo amezitumia kuwarubuni wajumbe ambao kwa uzembe na kutojitambua hawakujua kuwa hiyo ni njama mahususi ya CCM kuweza kujishindia ubunge kirahisi kabisa.
 
nimefuatilia sana suala la mleta mada, pamoja nakuonesha mahaba kwa Mwalimu Kashindye ila anayoyasema kuhusu mgombea aliyeshinda ni sahihi. wakuu ni dhahiri kwamba uchauzi huu umulikwe na hata ushindi utenguliwe. Samson amepata ushindi kiCCM kwa kugawa rushwa kwa wajumbe

Haya ndo yanayosemwa na jimbo la Geita Mjini mkuu! Rogers Ruhega ambaye ndiye aliyepeperusha bendera ya Chadema mwaka 2010 na kuwapa CCM ushindani wa kutosha ameambulia nafasi ya 3 kwenye kura za maoni!! Na nimeambiwa yanayosemwa mtaani ni haya haya kwamba walioshinda wamepiga goli la mkono!! Ngoja tusubiri tuone.
 
Mchungaji karudi kufundisha basi nayeye akafundishe ...alipoacha kazi..mamboya rasi li mali yakwenu

Yaani bora usingekuja mbona wamemkatillia.mbali.nzega.wamempa.nani???

Yaani ukongwe wote huo hapa JF bado unaandika vitu kama hivi?
Join Date : 22nd November 2007
Posts : 21,391
Rep Power : 316823830
Likes Received3546
Likes Given3787
 
Back
Top Bottom