GE2025 IGP Wambura: Jeshi la Polisi halitamvumilia mtu au kikundi cha watu, watakaojaribu kuvuruga amani ya watu kwa namna yoyote ile

GE2025 IGP Wambura: Jeshi la Polisi halitamvumilia mtu au kikundi cha watu, watakaojaribu kuvuruga amani ya watu kwa namna yoyote ile

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Just Pray

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2023
Posts
2,142
Reaction score
4,777
Mkuu wa jeshi la polisi nchini Camillus Wambura amesema jeshi hilo halitovumilia mtu au kikundi cha watu watakaojaribu kuvunja amani ya nchi kwa namna yoyote ile.

IGP Wambura amesema hayo katika Mkutano Mkuu wa mwaka wa Maafisa Waandamizi wa Jeshi la Polisi Agosti 11, 2025 katika Shule ya Polisi Tanzani- Moshi.

“Jeshi la Polisi liko imara na litaendelea kuhakikisha kuwa nchi yetu inakuwa shwari wakati wote na halitomvumilia mtu au kikundi cha watu watakaojaribu kuvuruga amani ya nchi yetu kwa namna yoyote ile.” Amesema Camillus Wambura.

Aidha amesema hivi karibuni vilijitokeza vikundi vya baadhi ya watu kwa mwamvuli wa siasa, demokrasia na uanaharakati na kuanza kuleta taharuki na kufanya vitendo vya uvunjifu wa amani kwa kutoa maneno ya uchochezi katika majukwaa mbalimbali yakiwa na uelekeo wa kuvuruga amani ya nchi na tayari jeshi la polisi limechukua hatua stahiki za kisheria kudhibiti vitendo hivyo vya kihalifu na sasa hali ni shwari.

 
Umeshawekewa vibilioni vyako kadhaa kwenye akaunti. Umeshiba! Watoto wanasoma shule nzuri! Mahekalu yako yanasimama tu kila siku/kwenye pande zote za nchi! Halafu unakutana mbele yako kuna kundi la watu wanataka kukupokonya huo ulaji wako! Lazima tu patachambika.

Uzuri hawajawahi kukana hadharani kama wao siyo policcm! Na ndiyo maana baadhi ya mabosi nao baada tu ya kustaafu, wameteuliwa/wamechaguliwa kushika majukumu ya chama tawala.
 
Mvunjifu wa amani namba Moja ndani ya hii nchi ni jeshi LA polisi ambao kiuhalisia wanatumika kuwaonea sana wapinzani na wakosoaji wa serikali
Jeshi lenu hilo la polisi limekaa kuwaonea na kuwaua wananchi wasio na hatia na kujiita wasio julikana mpaka hivi Leo watu wameuawa na kupotezwa kusikojulikana na jeshi lenu hilo la polisi mnadai mnachunguza mnachochunguza ni kipi kisicho kua na mwisho!? Mzee kibao ameuliwa bado mnachunguza!? Mdude hajulikani alipo, Azory Ben saanane na wengine wengi waliotekwa hawajulikani walipo halafu kama kamanda wa polisi bila AIBU UNASIMAMA MBELE YA VYOMBO VYA HABARI HALAFU MNASEMA MTAWASHUGHULIKIA WANAOVUNJA AMANI 😭 WAKATI MNAPASWA KUJITAFAKALI KWANZA KAMA JESHI LA POLISI KWA UTENDAJI WENU WA KUWAONEA WAPINZANI
 
Mkuu wa jeshi la polisi nchini Camillus Wambura amesema jeshi hilo halitovumilia mtu au kikundi cha watu watakaojaribu kuvunja amani ya nchi kwa namna yoyote ile.

IGP Wambura amesema hayo katika Mkutano Mkuu wa mwaka wa Maafisa Waandamizi wa Jeshi la Polisi Agosti 11, 2025 katika Shule ya Polisi Tanzani- Moshi.

“Jeshi la Polisi liko imara na litaendelea kuhakikisha kuwa nchi yetu inakuwa shwari wakati wote na halitomvumilia mtu au kikundi cha watu watakaojaribu kuvuruga amani ya nchi yetu kwa namna yoyote ile.” Amesema Camillus Wambura.

Aidha amesema hivi karibuni vilijitokeza vikundi vya baadhi ya watu kwa mwamvuli wa siasa, demokrasia na uanaharakati na kuanza kuleta taharuki na kufanya vitendo vya uvunjifu wa amani kwa kutoa maneno ya uchochezi katika majukwaa mbalimbali yakiwa na uelekeo wa kuvuruga amani ya nchi na tayari jeshi la polisi limechukua hatua stahiki za kisheria kudhibiti vitendo hivyo vya kihalifu na sasa hali ni shwari.

View attachment 3438262
Wazingatie huku chini
Wasiwaweke ulinzi cdm tu
Hili tukio nasikia imetokea goba

Ova
 

Attachments

  • VID-20250811-WA0002.mp4
    16 MB
Mkuu wa jeshi la polisi nchini Camillus Wambura amesema jeshi hilo halitovumilia mtu au kikundi cha watu watakaojaribu kuvunja amani ya nchi kwa namna yoyote ile.

IGP Wambura amesema hayo katika Mkutano Mkuu wa mwaka wa Maafisa Waandamizi wa Jeshi la Polisi Agosti 11, 2025 katika Shule ya Polisi Tanzani- Moshi.

“Jeshi la Polisi liko imara na litaendelea kuhakikisha kuwa nchi yetu inakuwa shwari wakati wote na halitomvumilia mtu au kikundi cha watu watakaojaribu kuvuruga amani ya nchi yetu kwa namna yoyote ile.” Amesema Camillus Wambura.

Aidha amesema hivi karibuni vilijitokeza vikundi vya baadhi ya watu kwa mwamvuli wa siasa, demokrasia na uanaharakati na kuanza kuleta taharuki na kufanya vitendo vya uvunjifu wa amani kwa kutoa maneno ya uchochezi katika majukwaa mbalimbali yakiwa na uelekeo wa kuvuruga amani ya nchi na tayari jeshi la polisi limechukua hatua stahiki za kisheria kudhibiti vitendo hivyo vya kihalifu na sasa hali ni shwari.

View attachment 3438262
Huyu si ndio tuliona stakabadhi alizokopeswa mihela kisha na yeye akazikopesha serikali (bonds) tunasubiri kuona akilipa mkopo na riba yake🥱
 
Makontena ya virungu yanashushwa na crane za DP world
 
Mkuu wa jeshi la polisi nchini Camillus Wambura amesema jeshi hilo halitovumilia mtu au kikundi cha watu watakaojaribu kuvunja amani ya nchi kwa namna yoyote ile.

IGP Wambura amesema hayo katika Mkutano Mkuu wa mwaka wa Maafisa Waandamizi wa Jeshi la Polisi Agosti 11, 2025 katika Shule ya Polisi Tanzani- Moshi.

“Jeshi la Polisi liko imara na litaendelea kuhakikisha kuwa nchi yetu inakuwa shwari wakati wote na halitomvumilia mtu au kikundi cha watu watakaojaribu kuvuruga amani ya nchi yetu kwa namna yoyote ile.” Amesema Camillus Wambura.

Aidha amesema hivi karibuni vilijitokeza vikundi vya baadhi ya watu kwa mwamvuli wa siasa, demokrasia na uanaharakati na kuanza kuleta taharuki na kufanya vitendo vya uvunjifu wa amani kwa kutoa maneno ya uchochezi katika majukwaa mbalimbali yakiwa na uelekeo wa kuvuruga amani ya nchi na tayari jeshi la polisi limechukua hatua stahiki za kisheria kudhibiti vitendo hivyo vya kihalifu na sasa hali ni shwari.

View attachment 3438262

Nisingeona tarehe ningesema hii ni video ya zamani, mbona mnatukumbusha kila siku sasa misimamo yenu ?

Huyu ndio tulieona bank statement zake mtandaoni ? Kwanini hatujawahi kupewa jibu kuhusu hizo hela ? Kama ni za kwake kihalili hamna shida itakuwa ni rahisi kujieleza. Anaweza kusema hahitaji kutoa jibu lakini kama IGP inabidi sisi wananachi tuwe na imani naye kuwa mtu namba mmoja nchini anayepaswa kusimamia wananchi kufuata sheria kuwa anaaminika.

Bila majibu kutoka serikali kuhusu hizo hela, hawana credibility ya kusema “jeshi la polisi liko imara na litaendelea kuhakikisha kuwa nchi yetu inakuwa shwari wakati wote na halitomvumilia mtu au kikundi cha watu watakaojaribu kuvuruga amani ya nchi yetu kwa namna yoyote ile.”

Kwa mfano: nikizushiwa kesi, nitakuja kukamatwa na mtu ambaye ana kashfa za potentially kuwa fisadi ? That is a very serious question.

Pia, kwanini hilo neno uanaharakati linaonekana kama tusi Tanzania ?

Kwanini watu wenye mamlaka ya kulinda maslahi ya nchi wanaallegations za ufisadi, kutoka mapolisi, wabunge, mawaziri, lakini ndio wa kwanza wa kusema wananchi watakaotaka kuvuruga amani hawatavumiliwa ? Naomba mtufafanulie maana ya kuvuruga amani kwasababu sasa hivi kunadisconnect between serikali na wananchi. Serikali inaona watu wanaotaka mabadiliko ni wanaharakati wanaotaka kuvunja amani na wananchi wanaona wanajitetea.
 
Back
Top Bottom