Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 118,617
- 220,470
Siyo aibu tu , bali ni fedheha kubwaNi aibu jeshi kujengewa sehemu ya kuifadhia silaha na raia! Kuna mambo serikali ifanye yenyewe na Mengine ndo wananchi tuchange.
Siyo aibu tu , bali ni fedheha kubwaNi aibu jeshi kujengewa sehemu ya kuifadhia silaha na raia! Kuna mambo serikali ifanye yenyewe na Mengine ndo wananchi tuchange.
Primary?Acha upotoshaji JK hajasoma Tosamaganga .
O level :Kibaha sec
Advance:Tanga Tech
True.Sema mitaa ile hakuna mademu wazuri, akipatikana mmoja, tahadhari ya HIV muhimu.
Unamjua Hezron Mkunja?Mimi mhenga kiasi flani.
Septmber 11 (9/11) inatokea mwalimu wangu wa inorganic chemistry advance mmarekani Jack Ashcroft anakuja kutupigia experiment ya kutengeneza voltaic cell huku ana majonzi.
Mwalimu Dale Larson anatupiga hesabu za Calculas kwenye basket ball court.
Ni Pearce corps product hao. Huku wakiungana na waingereza kama Miss Alisson Becker volunteer wa kiingerza kabinti kadogo kama wanafunzi wake.
Acha kuishi maisha ya kukaririNi aibu jeshi kujengewa sehemu ya kuifadhia silaha na raia! Kuna mambo serikali ifanye yenyewe na Mengine ndo wananchi tuchange.
Mbwa kama nyie msio na msaada kwenue nchi mnabweka sanaHaikubaliki serikali kujengewa ghala la silaha na raia na ni kukosa akili kwa viongozi wa taasisi nyeti na ni kujidhalilisha kukiri jambo la kidhaifu mtu namna hii.
Acha kuishi kwa kukariri, hata huko mbele watu hufanya hivyo.Alama ya taifa lililopoteza muelekeo
SawaAcha kuishi kwa kukariri, hata huko mbele watu hufanya hivyo.
Si kila kitu serikali ifanye, mwananchi fanya sehemu yako
Usimfananishe ASAS na Mo wa SimbaAma kweli hakuna tajiri anayependa mtu wa chini anyanyuke akue kiuchumi, badala ya kuwezesha vijana nyie mnasaidia serekali? Ukitaka kujua ukweli nenda ulizia vibarua au wafanyakazi ASAS wanalipwaje utatamani hata kulia
Tosamaganga sekondari ilikuwa shule ya kuandaa viongoziKumbe Sirro Tosa boy mwenzetu?!!
Aisee lile skonga limetutoa wajuba wengi sana.
ndio maana unaambiwa tafuta hela,polisi hawana roho mbaya.Aibu iliyoje jeshi lapolisi kuwekwa mfukoni, je siku akiwa na kesi mtaweza kumuwajibisha?
Haina re matchASAS 3~0 PGO
FULL TIME
Kwani ASAS ndio alikuwa anashika chepeo na futi kujenga hilo ghala au alitoa fedha tu?Ni aibu jeshi kujengewa sehemu ya kuifadhia silaha na raia! Kuna mambo serikali ifanye yenyewe na Mengine ndo wananchi tuchange.
Umenikumbusha sana wakati nasoma shule ya Gangilonga,hivyo vibama vilikuwa vinatengenezwa kwa mateChai nilikuwa nakumywa pale kwa Takore
Huyo jamaa huwa nashindwa kumkumbuka vizuri,ni mtoto wa wale jamaa wa Ruaha congress ambaye baba yao alifariki na ajali ya gari?maana mimi namkumbuka ndugu yao mmoja alikuwa anaitwa dharmeshi,amesoma mapinduzi akaishia darasa la sita akalushwa kwenda kuanza form one,akasoma mpaka form two,akalushwa tena form four alikuwa bright sanaHuyu Singasinga naye tulikuwa naye Iringa jirani na akina Pindi Chana
Akili ndogo tu. Unajua huko Mufindi kuna jamaa aliona isiwe tabu kusubiri umeme usio na uhakika utafika lini wa tanesco kwenye kijiji chake, akaamua kutumia ubunifu wake aliojaliwa na Mungu kujitengenezea umeme wa hydro power, si kwa ajili yake tu akawasambazia na majirani wake pia. Nikwambie Polisi wako hao na takataka za serikali zilimfanyaje yule mtu? Zilienda kumkamata na kuvuruga ubunifu wake kisa eti mwenye kibali cha kusambaza umeme ni Tanesco pekee. Takataka hizi hizi znathubutu kuzima talanta za watu wakati huo ndizo zinazopiga magoti na kushangilia kujengewa depot la silaha na mtu mmoja tu mwenye hela.Mbwa kama nyie msio na msaada kwenue nchi mnabweka sana